Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Vita ile sio ya msituni tena. Ngoma ipo moto sana sasa kupitia mitandao ya kijamii.Na hio sijui itafanikiwa lini maana mpk sasa ni next to impossible kufanya hivyo.Mbabe aliyefanya kitu kama hicho kwa miaka ya karibuni ni Putin kwa kuimega Crimea na bado anakutana vikwazo vya kiuchumi vya kufa mtu,sasa hawa maskini wenzetu wa hapo East Africa sijui watafanikishaje hilo?
Ndiyo kipindi kile kwenye sikukuu fulani tulionyeshwa nguvu za Tz kijeshi, yaani aina za magari ya kivita, ndege, ubabe wao na kadhalika. Show ilikuwa pale uwanja wa Taifa na kama sikosei ilikuwa kipindi cha Mwamunyange.Jk alinuia kufanya nini hasa na hizo operations?..
Msituchoke wengine tuna krismasi moja tu hapa mjini daslam..hivi vitu vilitupita.
Ni miaka ya baada ya 2000Unaongelea kisangani war na ilikua mwaka 2000 huko.
Vuluga za Congo Kinshasa..Nini kilikuwa kiini cha ugomvi na JK na huyu Kagame "intaharamwe"
Tuelezee kidogo kiongozi sisi wananchi wanyongeHahahaha mkuu ilipigwa counterintelligence moja hapo bongo kimya kimya huyo pk hatokaa amsahau jk
Alikuwa mkuu wa ujasusi.Kagame alishawahi kuwa mkuu wa majeshi uganda
Ni vyema serikali ya M7 impe uraia wa Uganda huyu jamaa maana ameutafuta kwa muda sana na waache kuishi kwa hofu.Huyo Muganga amesha achiwa Yuko zake mtaani Kama kawaida.
Kwenye suala la PK na JK lazima kuna kitu, JK alinusa! Ndiyo maana alianzisha operation,tokomeza na operation Kimbunga,kule kwenye mapori ya Kagera wanyarwanda walikua wamejaa tele!
Na huu ulikua mtego kwa PK ajibu kwa msela mtoto wa mjini JK,ndiyo Kagame angeona cha moto! PK hakujibu,alikaa zake kimya tu,zaidi yakusema maneno ya kike kwamba JK ni handsome,hawezi pokea ushauri toka kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Myebusi bana. Hakuna mtu muoga kama mbongo. Nguvu mdomoni tu.
Mtikila hakuwa wa kawaida na kwa ule waraka alioutoa,na infact waraka wenyewe alipewa na Wazee wa kitengo yeye alikua muwasilishaji tu.
Wale waasi wa fdlr walikua ni wageni wa Mtikila nyumbani kwake kipindi flani hivi hapo dar,wakamalizana nae wakarudi Kupanda boti kigoma ya kwenda Congo haijuilikani kilitokea nini lkn hawakufika Congo walitekwa njiani wakapelekwa Kigali haraka tu.
So possibly Jamaa walikua na mkono wa kifo chake labda.
Dah nilipoona tu chuo kikuu cha victoria nilifikiri ni hapa Tanzania ikabidi chap niende kwenye guide book ya TCU aisee kumbe ni kwa M7Hivi majuzi vikosi vya jeshi la Uganda UPDF vimeivamia chuo kikuu Cha Victoria na kumuchukua Mkuu wa chuo hicho maarufu.
Dr Lawrence Muganga anadaiwa anaipeleleza serikali ya Museven na kumpelekea Rais Kagame wa Rwanda taarifa nyeti.
Bado haijulikani Dr Muganga kawekwa wapi. Dr Muganga ni mwanataaluma kijana anayeheshimika Sana chini Uganda na ana asili ya Rwanda. Ni wale wanyarwanda waliozaliwa nchini Uganda ktk kambi za Wakimbizi enzi hizo. Amekuwa akijaribu kuhalalisha uraia wake wa Uganda bila mafanikio.
KunisemaMr slim sio mtu mzuri at all and ungrateful animal.
Uganda inamchango mkubwa kwa Mr slim hadi kuwa President ila bado anawazingua waliomsapoti.
Hapana mkuu.
Huu ni mtego wa Panya...msipoutoa wataingia waliokuwemo na wasiokuwemo!Mi nikadhani hapa kwetu bhana...
Tawaache wafu wazike wafu wao
Yes Chief, alikua ana ushirikiano nao wa aina fulani.Hata pale kwake walikua wanalala Sana tu.sijaelewa chief!!
kwahiyo Mtikila alikua anashirikiana na hao waasi wa FDLR?
Bora umekuja:, kwanini uishiwi choko choko kwa majirani zako na mbaya Zaid you are fighting everybody kama mdogii wa kichaa? 😂😂Acha
Kunisema
Mara ya mwisho Uganda na Rwanda kupigana Ni Kisangani,ambako Uganda alipigwa mara 3.Hawajawahi kupigana tena mpk leo.Ni miaka ya baada ya 2000
Huyo jamaa Ni wa kabila la Banyarwanda na ni raia wanaotambuliwa Kama kabila mojawapo la Uganda(kabila la 24),huyo Muganga amekua kwny kampeni za Muda mrefu za kutaka jina la Hilo kabila libadilishwe kutoka Banyarwanda liitwe Abavandimwe maana anasema wakiitwa Banyarwanda wanafananishwa na wanyarwanda hivyo kukosa Haki zao za kimsingi kama raia wengine wa Uganda.Mkewe ndiye raia wa Rwanda.Ni vyema serikali ya M7 impe uraia wa Uganda huyu jamaa maana ameutafuta kwa muda sana na waache kuishi kwa hofu.
Pole MkuuDah nilipoona tu chuo kikuu cha victoria nilifikiri ni hapa Tanzania ikabidi chap niende kwenye guide book ya TCU aisee kumbe ni kwa M7
Kifo chake kina utata?..if so,mkono ni wa nani mkuu?Yes Chief, alikua ana ushirikiano nao wa aina fulani.Hata pale kwake walikua wanalala Sana tu.