Mkuu wa chuo kikuu Cha Victoria nchini Akamatwa akidaiwa kuwa ni shushu maalumu wa Rais Kagame

Mkuu wa chuo kikuu Cha Victoria nchini Akamatwa akidaiwa kuwa ni shushu maalumu wa Rais Kagame

Kifo chake kina utata?..if so,mkono ni wa nani mkuu?
Hata sifahamu mkuu, Possibly Ni mkono wa PK Kama wasemavyo wazoefu au labda Ni ajali ya kawaida.

Hio siku kabla ya ajali alisema anaenda Kule tume ya Taifa ya uchaguzi kwenda kupinga mamvi kugombea urais kwa sababu ni unfit(kiafya) na alikua anasema ana nyaraka za kuthibitisha hilo.

Sijahusisha tukio hilo na ajali Ila nimekumbuka tu alikata Moto kabla ya lengo lake kufikiwa.
 
Ukuda ulikua Ni JK kumshauri Paka apatane na waasi wkt huo JK amesha side nao na anakutana nao behind the scene na mbaya kabisa akaenda kumpa huo ushauri mbele ya mkutano wa AU, hapo ndipo kiliwaka Moto.

Hata leo Kenyatta akiaenda kwny mkutano wa AU unaokutanisha Marais wote wa Africa na akashauri Mama Samia amuachie Mbowe na afanye mazungumzo na Chadema na aache kuwatesa tesa aruhusu wafanye shughuli zao za kisiasa kwa Uhuru patawaka Moto Kati ya Kenya na Tz maana diplomacy haifanyi kazi hivyo Kati ya nchi na nchi.
Wala samia hata fanya chochote, na wala hata mwamwimbia Kenyatta kuwa " nakusubiri katika sehemu husika na nikupigie" na wala hata toa matusi juu ya serikali ya Kenya na wala propaganda kuhusu za familia ya kenyata kwenye mitandao , Kama chombo Cha habari kimoja Cha Rwanda kutoa habari kuwa mke wa kikwete Ni muhutu na Ana mahusiano na juvenal.
 
Wala samia hata fanya chochote, na wala hata mwamwimbia Kenyatta kuwa " nakusubiri katika sehemu husika na nikupigie" na wala hata toa matusi juu ya serikali ya Kenya na wala propaganda kuhusu za familia ya kenyata kwenye mitandao , Kama chombo Cha habari kimoja Cha Rwanda kutoa habari kuwa mke wa kikwete Ni muhutu na Ana mahusiano na juvenal.
Basi Kama hataweza kufanya chochote acha wenye kuweza kubonga wabonge.
 
Ndio atulie sasa asilie lie akiwa anapapaswa papaswa na jasusi.
Mkuu mtu yeyote anaenda kufanya ujasusi nchi jirani , akikamatwa adhabu Ni kifungo Cha maisha au kunyongwa,
M7 anafahamu Sana Kuna raia wa rwanda wengi Sana Uganda hasa watutsi, walikuwepo huko kutokana na machafuko ya mwaka 1959, 1973 na 1994, na ndio Maana anakuwa makini Sana.
 
Mkuu mtu yeyote anaenda kufanya ujasusi nchi jirani , akikamatwa adhabu Ni kifungo Cha maisha au kunyongwa,
M7 anafahamu Sana Kuna raia wa rwanda wengi Sana Uganda hasa watutsi, walikuwepo huko kutokana na machafuko ya mwaka 1959, 1973 na 1994, na ndio Maana anakuwa makini Sana.
Na ndio waliomuweka madarakani ye mwenyewe M7,Ni vyema akiwa Makini nao.
 
Hivi majuzi vikosi vya jeshi la Uganda UPDF vimeivamia chuo kikuu Cha Victoria na kumuchukua Mkuu wa chuo hicho maarufu.

Dr Lawrence Muganga anadaiwa anaipeleleza serikali ya Museven na kumpelekea Rais Kagame wa Rwanda taarifa nyeti.

Bado haijulikani Dr Muganga kawekwa wapi. Dr Muganga ni mwanataaluma kijana anayeheshimika Sana chini Uganda na ana asili ya Rwanda. Ni wale wanyarwanda waliozaliwa nchini Uganda ktk kambi za Wakimbizi enzi hizo. Amekuwa akijaribu kuhalalisha uraia wake wa Uganda bila mafanikio.




Close

Museveni and Kagame: Old friends to new foes​

Current Affairs

Museveni and Kagame: Old friends to new foes​

Twitter Facebook LinkedIn
Once staunch brothers-in-arms, Uganda’s President Yoweri Museveni and Rwanda’s Paul Kagame seem to have fallen out with each other. What is the reason behind the current chilly atmosphere? Huck Stevo digs into the background to find an answer.
Rwanda, Uganda fight a cold war
They shared the common dream of becoming presidents of their countries. They pursued that dream from the barrel of the gun to its desired end. First, it was Yoweri Museveni who stormed to power in Uganda in 1986 after a five-year bloody bush war which Rwandan refugees living in his country helped him fight.
The war in Uganda’s central region’s ‘Luweero Triangle’ cost the lives of an estimated half a million people. The guerilla forces relied heavily on the Rwandan refugees, shaped by the years of suffering and statelessness into tough fighters. They were subsequently absorbed en masse into the Uganda national army, the Uganda People’s Defence Force (UPDF), where they gained the experience for the imminent armed struggle to return to Rwanda.
It is not surprising that when Museveni came to power in 1986, the bulk of the UPDF’s senior army officers were Rwandans. They included deputy army commander Maj.-Gen. Fred Rwigyema, Paul Kagame, who headed military intelligence, Maj. Dr Peter Baingana, who headed the army’s directorate of medical services, Col. Chris Bunyenyezi, who was a field commander, and Maj. Frank Munyaneza, a mobile brigade commander. There were thousands more Rwandans recruited into the lower ranks of the UPDF.
 
Swali zuri sana! Aki
Kwani M7 aliwekwa na Nani kua rais?

M7 aliwekwa madarakani na vita alioianzisha mwenyewe. Na kati ya wapiganaji 27 alioanza nao walikuemo wanyarwanda wengi sana hadi waliposhinda vita. Wanyarwanda walikua wanaongoza kuanzia platuni hadi divijonzi, wakati mseveni akitumia muda mwingi Sweden. Ukumbuke cabinet yake ya kwanza naibu waziri wa ulinzi alikua mnyarwanda pure.
Bora wewe historia unafatilia,waulize Rwigyema wanamjua?
 
Back
Top Bottom