Yesu ni Muislam.Yesu myahudi hamjui Allah bali anamjua baba yake Yehovah myahudi......!!!
Au unamsemea issa mwarabu wa saudia???
Inasikitisha. Ukisoma mada na comments kadhaa hapa unapata picha jinsi waafrika (watu mweusi) walivyokuwa wakifanywa watumwa na makoloni kirahisi kuliko jamii zingine.Watumwa wana wajadili mabwana zao
Hahahahaha..na ndio ma GT lkn mada na michango yao ndio kama hiyoInasikitisha. Ukisoma mada na comments kadhaa hapa unapata picha jinsi waafrika (watu mweusi) walivyokuwa wakifanywa watumwa na makoloni kirahisi kuliko jamii zingine.
Wao badala ya kupambania haki zao, uhuru wao, hali zao na utu wao binafsi kutwa kuchwa ni kutukuza madikteta, miamba na mabeberu. Kusifia na kufurahia ukatili wao jinsi wanavyowasulubu mahasimu wao na wanyonge wasiotaka kuwapigia magoti!!???
Duh Mkuu na wewe sasa unachukua sides za nchi: pro-Russia, pro-Ukraine, pro-US, pro-? Mimi nilifikiri uko pro-objectivity.Ni wanafiki sana.... Israel alipovamia Palestina unaambiwa ni halali kisa walishambuliwa "kigaidi". Cha ajabu Russia akijibu mapigo utasikia kelele kibao.
I used to sympathise with Ukraine ila tokea double standards za Gaza, hakuna wakati natamani hawa Pro-US watandikwe kama sasa.
Sijui walimfanyaje KGB.....Bora niwe chawa sio kufanya upuuzi kwenye nchi ya bwana yulee๐๐๐
Mtu kaletwa mahakamani na kitanda ili asikilize kesi yake๐๐๐
Yesu.....yupi sasa bibi????Yesu ni Muislam.
Urusi maisha magumu kulinganisha na ulaya magharibi na America.......afu kule ubabe babe......ila wezi,wahuni,majangili na wapinzani wa serikali wapo tu.Bora niwe chawa sio kufanya upuuzi kwenye nchi ya bwana yulee๐๐๐
Mtu kaletwa mahakamani na kitanda ili asikilize kesi yake๐๐๐
Mkuu anachofanya Putin ndio anachofanya Netanyahu.... cha ajabu watu wana sympathy kwa Kyiv sio Gaza!! Hizi double standards zinashangaza sana.Naendelea ku-sympathise na Ukraine katika vita yao ya kujikomboa toka kwa tishio la kupokwa sovereignty yao na dikteta wa Urusi. Thatโs a matter of principle. Support ya US iwepo isiwepo haibadilishi hiyo principle. Siwezi kukubaliana na wazo lolote la kuitaka Ukraine ijisalimishe na kujikabidhi kwa Putin.
Let them be. There are lots of noisy low minds. Hatuwezi kuwazuia.Mkuu anachofanya Putin ndio anachofanya Netanyahu.... cha ajabu watu wana sympathy kwa Kyiv sio Gaza!! Hizi double standards zinashangaza sana.
Sio kweli,ni WAKRISTOWewe mjukuu wa Mtume acha Propaganda uchwara. Wahalifu pekee hapa duniani ni nyie Waislam
Yeah