Mkuu wa FSB wa Urusi asema Marekani, Uingereza, Ukraine ndizo zilizohusika na shambulio la Moscow

Mkuu wa FSB wa Urusi asema Marekani, Uingereza, Ukraine ndizo zilizohusika na shambulio la Moscow

Kitendo walichokifanya ni sawa na kuchezea nyeti za Putini. Watateseka sana kabla ya kuaga dunia.
 
Umejuwaje kama wale ni Waislam? Muislam haruhusiwi kuua bila sababu. Na sababu zake ni mbili tu, au vita au kisasi.
🤣🤣 kuna dini gani inaruhusu watu kuua sasa? Anaeua ni mtu sio dini yake.
Ila ukiua tunakuhukumu wewe na dini yako iliyokulea vibaya.
 
🇰🇿🇺🇦 Ubalozi wa Kazakhstan nchini Ukraine unatoa wito kwa raia wake kuondoka mara moja Kharkiv na Odessa

"Kutokana na kuongezeka kwa mvutano na hali ya usalama isiyo imara katika mikoa ya Odessa na Kharkov ya Ukraine, Ubalozi unapendekeza kwamba raia wa Kazakhstan wafikirie kuondoka katika maeneo haya," ujumbe unasema.

Katika mahojiano na CBS News, Zelensky alikiri kwamba Urusi inajiandaa kwa shambulio jipya kubwa

t.me/megatron_ron
 
🤣🤣 kuna dini gani inaruhusu watu kuua sasa? Anaeua ni mtu sio dini yake.
Ila ukiua tunakuhukumu wewe na dini yako iliyokulea vibaya.
Unaonesha kuwa una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii.
 
Waisrael weusi mbona mnaupita huu uzi Putin kakamata magaidi.
😂
Inawezekana wanaona uzi umejaa umbea, porojo, mihemko na ushabiki maandazi..
Mtoa mada hajaweka source yoyote credible hapa
 
Inawezekana wanaona uzi umejaa porojo, mihemko na ushabiki maandazi..
Mtoa mada hajaweka source yoyote credible hapa
Hizi ni porojo?
>>>>>>>>>>>>>>>>>
The investigation has information that the perpetrators of the terrorist attack received significant amounts of money and cryptocurrency from Ukraine.

Terrorists from Crocus are connected with the special services of Ukraine, - Sledkom

The initial results of the investigation into the terrorist attack in Crocus fully confirm the planned nature of the terrorists’ actions, careful preparation and financial support from the organizers of the crime, the Investigative Committee reports.

As a result of working with arrested terrorists, studying the technical devices confiscated from them, and analyzing information about financial transactions, evidence of their connection with the Ukrainian Nazis was obtained.

The investigation has information that the perpetrators of the terrorist attack received significant amounts of money and cryptocurrency from Ukraine.

1 more suspect involved in financing terrorists has been identified and detained.


t.me/megatron_ron
>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Unataka Source gani?
 
Wanaukumbi.

Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow".

Hayo ni madai mazito ... yenye athari za ulimwengu ...

.
---
Russian Federal Security Service Chief said today, “the US, Britain, and Ukraine, were behind the Moscow concert hall attack”.Those are serious allegations… with global implications…Regardless of who you think is telling the truth, tensions are high.

UP DATE…..
BREAKING:

🇷🇺 Uchunguzi una habari kuwa wahusika wa shambulio la kigaidi walipokea kiasi kikubwa cha pesa na sarafu ya siri kutoka Ukraine.

Magaidi kutoka Crocus ni kushikamana na huduma maalum ya Ukraine, - Sledkom

Matokeo ya awali ya uchunguzi wa shambulio la kigaidi huko Crocus yanathibitisha kikamilifu asili iliyopangwa ya vitendo vya magaidi, maandalizi makini na msaada wa kifedha kutoka kwa waandaaji wa uhalifu, Kamati ya Uchunguzi inaripoti.

Kama matokeo ya kufanya kazi na magaidi waliokamatwa, kusoma vifaa vya kiufundi vilivyochukuliwa kutoka kwao, na kuchambua habari juu ya shughuli za kifedha, ushahidi wa uhusiano wao na Wanazi wa Kiukreni ulipatikana.

Uchunguzi huo una habari kwamba wahusika wa shambulio hilo la kigaidi walipokea kiasi kikubwa cha fedha na sarafu ya siri kutoka Ukraine.

Mshukiwa 1 zaidi anayehusika katika kufadhili magaidi ametambuliwa na kuzuiliwa.

t.me/megatron_ron

View: https://x.com/megatron_ron/status/1773364653076128047?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

UP DATE..

View: https://x.com/bricsinfo/status/1773583970774478942?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wewe mjukuu wa Mtume acha Propaganda uchwara. Wahalifu pekee hapa duniani ni nyie Waislam
 
Also nothing Biden can do to Russia
acha kujitekenya wew hao watu 130+ plus walio tangulizwa akhera mbona uyo Russia haja fanya retaliation yoyote kwa Us ?
 
Back
Top Bottom