Mkuu wa FSB wa Urusi asema Marekani, Uingereza, Ukraine ndizo zilizohusika na shambulio la Moscow

Mkuu wa FSB wa Urusi asema Marekani, Uingereza, Ukraine ndizo zilizohusika na shambulio la Moscow

Wanaukumbi.

Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow".

Hayo ni madai mazito ... yenye athari za ulimwengu ...

.
---
Russian Federal Security Service Chief said today, “the US, Britain, and Ukraine, were behind the Moscow concert hall attack”.Those are serious allegations… with global implications…Regardless of who you think is telling the truth, tensions are high.
Basi putini na alenge japo jiwe kule litue Uengereza ama United States
 
Uzuri wa Mrusi sio mnafiki na karibuni atawataja wahusika kama ni Mosad waliojificha nyuma ya pazia
Russia lazima amewabana korodani mpaka watasemana tu
Safari hii hachomoki mtu
Sisi tulishaona
 
🇷🇺 Magaidi hao watakabiliwa na hali ngumu ya kuwekwa kizuizini

Hii ilisemwa na katibu mtendaji wa Kamati ya Ufuatiliaji wa Umma ya Moscow, Alexey Melnikov.

"Kwa maisha yao yote, watakuwa kwenye kile kinachojulikana kama jeneza (hiki ni chumba cha 4-6 sq. m), watalazimika tu kusonga kwa kuinama na mikono yao nyuma ya migongo yao. hataweza kuwasiliana naye,” alisema. - Ostashko anaripoti
Marekani, Uingereza, Ukraine Magaidi wakubwa wamewatumia hawa vijana kwa maslahi yao wanakwenda kuteseka sasa.
 

Attachments

  • IMG_2189.jpeg
    IMG_2189.jpeg
    309.7 KB · Views: 2
Russia hawezi kuongea kitu ambacho hana uhakika nacho,

Trump ndiyo mtu anaeweza kuja kumaliza huu mgogoro kwa kiasi flani, siyo hiki kizee
Kwa hali ya sasa ya mambo hata Trump hawezi, vyama viwili vya Marekani siku zote huwa vina agenda moja (Ruling elites ni wale wale) tofauti huwa ni strategies

Trump na timu yake lengo lao lilikua ni kuweka urafiki na Russia, kutumia huo urafiki (fake) kuwatenganisha na China, ndio maana sera zake nyingi zilikua Anti China

Russia na China wamegeundua watakua salama zaidi kama wakiwa pamoja, na huo urafiki hauwezi kufa tena mpaka pale U.S itakapoanguka.

China haiwezi kaa pembeni na kutazama Urusi ikianguka kwasababu wanajua next Target itakua wao. Wanajua vizuri hila na mbinu za Marekani na vigagura vyake (U.K, Israel, France, Canada etc)
 
🇷🇺🇺🇦 Something big is going to happen in the near future

“There may be no need to discuss the legitimacy of Zelensky’s role after May 20. Let's wait until then.”

- Sergey Lavrov
>>>>>>>>>>>>>>>>
🇷🇺🇺🇦 Kitu kikubwa kitatokea katika siku za usoni.

"Huenda hakuna haja ya kujadili uhalali wa jukumu la Zelensky baada ya Mei 20. Wacha tusubiri hadi wakati huo."

- Sergey Lavrov
 
Russia hawezi kuongea kitu ambacho hana uhakika nacho,

Trump ndiyo mtu anaeweza kuja kumaliza huu mgogoro kwa kiasi flani, siyo hiki kizee
🇷🇺 🇺🇦 Urusi inasema magaidi waliofanya shambulizi huko Moscow walipokea kiasi kikubwa cha pesa taslimu na pesa taslimu kutoka Ukraine.
 
Umejuwaje kama wale ni Waislam? Muislam haruhusiwi kuua bila sababu. Na sababu zake ni mbili tu, au vita au kisasi.
Kumekucha tena….
HOLY SHIT…

Russia have arrested an accomplice involved in the Crocus City Hall terror attack.

This individual is allegedly involved in the financing of the attack.

Russia claim they now have confirmation the terrorists received financial backing from Ukraine.

Scary times…
 
Also nothing Biden can do to Russia
BREAKING

The Moscow tеrrоrists received money and crypto transfers from Ukraine

Russian investigators worked with the shооters and analysed their devices and transfers to establish the connection

A suspеct related to the financing scheme has been detаinеd
 
Huu uzi ni mchungu kwa wafuasi wa upinde wanachungulia kwa mbali kama nguchiro hawataki kabisa kusikia hizi habari, Putin hacheki na nyani safari hiii.
Ni wanafiki sana.... Israel alipovamia Palestina unaambiwa ni halali kisa walishambuliwa "kigaidi". Cha ajabu Russia akijibu mapigo utasikia kelele kibao.

I used to sympathise with Ukraine ila tokea double standards za Gaza, hakuna wakati natamani hawa Pro-US watandikwe kama sasa.
 
🇷🇺 Magaidi hao watakabiliwa na hali ngumu ya kuwekwa kizuizini

Hii ilisemwa na katibu mtendaji wa Kamati ya Ufuatiliaji wa Umma ya Moscow, Alexey Melnikov.

"Kwa maisha yao yote, watakuwa kwenye kile kinachojulikana kama jeneza (hiki ni chumba cha 4-6 sq. m), watalazimika tu kusonga kwa kuinama na mikono yao nyuma ya migongo yao. hataweza kuwasiliana naye,” alisema. - Ostashko anaripoti
Marekani, Uingereza, Ukraine Magaidi wakubwa wamewatumia hawa vijana kwa maslahi yao wanakwenda kuteseka sasa.
Picha za hawa jamaa zinachekesha kwakweli, japo sio mazuri
 
Ni wanafiki sana.... Israel alipovamia Palestina unaambiwa ni halali kisa walishambuliwa "kigaidi". Cha ajabu Russia akijibu mapigo utasikia kelele kibao.

I used to sympathise with Ukraine ila tokea double standards za Gaza, hakuna wakati natamani hawa Pro-US watandikwe kama sasa.
Hawana wanachofahamu zaidi ya mkumbo wengi hawana ufahamu wanasukumwa na ushabiki mandanzi mfano umeona kwenye huu uzi wafurahia magaidi kukamatwa lakini hawataki kusikia habari zozote kwa waliowatuma mabwana zao hawataki waguswe 🤣
 
🇺🇦🇷🇺‼️🚨 BREAKING: “There may be no need to discuss the legitimacy of Zelensky’s role after May 20. Let's wait until then.”

— Lavrov, hinting that Zelensky may not be in power in two months
 
Back
Top Bottom