Mkuu wa HAMAS apoteza mwanaye na ndugu baada ya bomu la Israel kupiga kwake

Mkuu wa HAMAS apoteza mwanaye na ndugu baada ya bomu la Israel kupiga kwake

YEye anaishi zake huko Doha, Qatar

This time serikali ya Qatar itatakiwa imkabidhi au na yenyewe isambaratishwe na huo uwe ndiyo mwisho wa harakati za Qatar kuimarika na kubaki kama nchi ambayo haikuwahi kuandaa World Cup hivi karibuni.

Ndiyo maana Qatar wakajiwahi kuibembeleza Marekani kuwa yenyewe izikutanishe pande hizo mbele kwa ajili ya mazungumzo ya kusitisha vita, US akawapotezea kama vile hakawasikia.


This time, hii game inaondoka na wengi.
 
Simple analysis:

US ni main sponsor wa GAYS duniani,....
US ni main sponsor wa ISRAEL ( jews) ..
POPE ameshateleza na kusema about GAYS ,..kama hili la imani ameshindwa kusimama nalo anaweza kweli kuiona uadilifu wa mzozo wa Palestinians vs ISRAEL ..? ( ame sideline na US + ISRAEL)

Hivi inahitaji maarifa mengine kuona hili kwamba hakuna hidden and common ajenda kwa hizi 3 pillars duniani....??

Ni jamii gani ktk dunia hiii au ideology gani lpo completelly against this Group/pillars...

Ambapo hasa these pillars zinaiogopea sana hiyo ideology....??

Ukibisha ni kwamba unataka kujiridhisha na unachokiiona duniani...

Mbona hua mpo obsessed na mambo ya gays, hivi ili andiko ni kweli na lipo kwenye maandiko yenu?? MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245
 
Mbona hua mpo obsessed na mambo ya gays, hivi ili andiko ni kweli na lipo kwenye maandiko yenu?? MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245
Ndege wanaofanana wakiruka pamoja in COMMON Characters...

Kama huna unachokilinda ktk ideology yako ambayo imeshapotezwa msingi wake, ....huna cha thamani tena....kinachobaki ni kushabikia tu BECAUSE YOU HAVE NOTHING TO LOOSE ...
 
Ndege wanaofanana wakiruka pamoja in COMMON Characters...

Kama huna unachokilinda ktk ideology yako ambayo imeshapotezwa msingi wake, ....huna cha thamani tena....kinachobaki ni kushabikia tu BECAUSE YOU HAVE NOTHING TO LOOSE ...

Ndio maana hayo maushoga yapo sana pwani kule kwa dini ya huyu aliyekua anayafanya haya :MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245"
 
Israel feki hawajaanza jana kuwaua wapalestina.sasa hivi wapalestina wameamka sasa ndo maana unaona waisraeli ni wengi wamekufa kuliko wapalestina.
Daaaa!!! Hivi kweli unawezaje kusema hivyo kwa sasa? Yaani hadi leo hii tayari Wapalestina waliouawa ni wengi zaidi!! Na kwanza ndio kazi inataka kuanza ya safisha ukanda wa gaza!! Kwanza kwa sasa hakuna kuingia wala kutoka gaza, yaani hats sasa Israel aamue kuuwa watu wote waliopo gaza uwezo huo anao!! Ila Hiyo migaidi inawapa tabu sana wananchi wengine japo na wao ni wale wale tu, na wameambiwa hakuna kitu (chakula, maji, mafuta, umeme) kitakachoingia gaza hadi kwanza mateka hao 150 watakapoachiwa!! KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Huyu jamaa atabaki na ndugu kweli mbona kama wote wanaliwa vichwa

Palestinian Media has now Confirmed that the Brother of Hamas Leader, Yahya Sinwar has been Killed by an Israeli Airstrike earlier tonight on his Apartment Building within the City of Khan Younis in Southern Gaza.
 
Back
Top Bottom