Simple analysis:
US ni main sponsor wa GAYS duniani,....
US ni main sponsor wa ISRAEL ( jews) ..
POPE ameshateleza na kusema about GAYS ,..kama hili la imani ameshindwa kusimama nalo anaweza kweli kuiona uadilifu wa mzozo wa Palestinians vs ISRAEL ..? ( ame sideline na US + ISRAEL)
Hivi inahitaji maarifa mengine kuona hili kwamba hakuna hidden and common ajenda kwa hizi 3 pillars duniani....??
Ni jamii gani ktk dunia hiii au ideology gani lpo completelly against this Group/pillars...
Ambapo hasa these pillars zinaiogopea sana hiyo ideology....??
Ukibisha ni kwamba unataka kujiridhisha na unachokiiona duniani...
Ndege wanaofanana wakiruka pamoja in COMMON Characters...Mbona hua mpo obsessed na mambo ya gays, hivi ili andiko ni kweli na lipo kwenye maandiko yenu?? MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245
Anacheza na israel..atauliwa huko huko dubai alikojificha...hakuna mission ya nje ya kumaliza maadui wa Israel iliyokwama....Huyu huyu mkuu wa hamas anaekula bata akiishi kifahari View attachment 2778609
Ndege wanaofanana wakiruka pamoja in COMMON Characters...
Kama huna unachokilinda ktk ideology yako ambayo imeshapotezwa msingi wake, ....huna cha thamani tena....kinachobaki ni kushabikia tu BECAUSE YOU HAVE NOTHING TO LOOSE ...
Daaaa!!! Hivi kweli unawezaje kusema hivyo kwa sasa? Yaani hadi leo hii tayari Wapalestina waliouawa ni wengi zaidi!! Na kwanza ndio kazi inataka kuanza ya safisha ukanda wa gaza!! Kwanza kwa sasa hakuna kuingia wala kutoka gaza, yaani hats sasa Israel aamue kuuwa watu wote waliopo gaza uwezo huo anao!! Ila Hiyo migaidi inawapa tabu sana wananchi wengine japo na wao ni wale wale tu, na wameambiwa hakuna kitu (chakula, maji, mafuta, umeme) kitakachoingia gaza hadi kwanza mateka hao 150 watakapoachiwa!! KUPANGA NI KUCHAGUAIsrael feki hawajaanza jana kuwaua wapalestina.sasa hivi wapalestina wameamka sasa ndo maana unaona waisraeli ni wengi wamekufa kuliko wapalestina.