Mkuu wa hii Dunia ni MUNGU, ila shetani kajizolea kijiji chake cha watu wenye nguvu yenye ushawishi

Mkuu wa hii Dunia ni MUNGU, ila shetani kajizolea kijiji chake cha watu wenye nguvu yenye ushawishi

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Mkuu wa dunia hii ni MUNGU wa mbinguni, ila asilimia kubwa ya watu wanamuabidu shetani na Mungu anepewa kisogo.

Ngoja nikueleze kitu. Kuna vitu vya kwanza kabisa ni lazima uviwahi ili uiteke hii dunia. Shetani kapiga bao kubwa kwa sababu vitu vyote katika dunia hii, vile vikubwa amevishikilia yeye.

Hii inamaanisha nini? Atautawala ulimwengu kwa namna anavyotaka yeye. Ili ukitaka kujua hili, mngeitafuta ile documentary ya siri ya CIA inayoitwa ADAM AND EVE.

Vitu vyote vikubwa ambavyo vinatawala hii dunia, vinamilikiwa na watu wanaomuabudu shetani. Hebu hesabu kwanza.....

Fuatilia wale viongozi wanaoiendesha NASA.
Fuatilia Apple, Google, Microsoft, kampuni zote kubwa zipo chini ya hawa watu ambao wewe unawajua kama illuminati.

Hawa Blackrock, State Street na Vanguard ndiyo wanaoiendesha dunia mpaka sasa hivi. Nyuma yake kuna watu wakubwa na wazito ambao ukiambiwa, hutoamini masikio yako.

Vanguard, state Street na Blackrock ndio wanashikilia kampuni kubwa zote duniani. Apple, Microsoft, Amazon, Meta na mengine. Kivipi?

Hawa ndio share holders wakubwa kwenye kampuni zote kubwa duniani. Ukisikia Vanguard, State Street na Blackrock jua umezungumzia madude makubwa duniani. Wao wana hisa kubwa mpaka benki ya dunia, yaani wakisema tunafanya hivi, wanafanya mara moja. Nakushauri nenda Google kawasome sana hawa Vanguard, State Street na Blackrock uwajue vizuri na mambo yao.

Sasa hao akina Vanguard wanamilikiwa na nani? Nenda kajifunze Google mkuu.

Unaposikia watu ni mashetani ndio hawa sasa. Na hawa ndiyo wanaishikilia dunia, na ndio mailluminati wakubwa, tena wale wenye digrii nyingi.

Hawa watu wanaishikilia mpaka NASA halafu hapohapo unataka jamaa waibuke na wakwambie ukweli! Lini shetani akasena ukweli?

Hii dunia sisi ni wasindikizaji tu, kuna watu wao ndio wanafanya wanalotaka. Kapekuepekue kidogo uone ni kwa namna gani hawa watu wana nguvu kwenye hii dunia, halafu pekua ujue hawa wapo chini ya nani na nani.

Unaijua Bitcoin? Watu wanasema muanzikishaji hajulikani. Kuna mzee fulani pale Marekani alipokuwa anahojiwa akasema endapo nitakwambia ni nani aliianzisha hii Bitcoin, mara moja ungechomoka haraka sana huko.

Watu wana nguvu. Huwezi kuizuia Bitcoin kwa sababu ni mpango mkakati wa NWO.

Wazee kuna mengi sana sema nini! Jueni kwamba vitu vyote vikubwa unavyoviona kwenye dunia hii vipo chini ya illuminati. Yaani huwezi kuwakimbia na hawawezi kujwambia ujweli hata kidogo, kuna taarifa nyingi sana wanakuficha, na wale wanaojaribu kuzitoa kwako, wanamdedisha haraka sana.

Wao wanakupa umaarufu, wao wanauchukua, wao wanakupokonya uhai na kuipa clonning yako uhai.

Dunia tambara bovu.
 
There is a super natural power that created everything in the universe including peoples and jinns.
The super natural power is ALLAH💯
 
Kuhusu kuindesha Dunia inaendeshwa na familia sita the top illuminated family Hawa ndio wanaoimiliki hii Dunia.
Na wamegawana nyanja za umiliki wapo wanaomiliki mifumo ya pesq yote duniani pesa zote kwenye mabenk duniani pote ni zao sio WB au IMF,wapo wanaomiliki madini yote Dunia nzima ni yao sisi ni watunzaji TU wao ndio upanga Bei ya madini duniani.
. Rockefeller family
.Rotchild family
.Du point family
.De beers
. Morgan
.warbug
 
Nikikuambia Roman catholic ni mashetani utabisha basi ndio wanatawla hii duni ,wakipuhs agenda zote za ovyo.
Ni tone tu kwenye bahari,huyo papa mwenyewe yupo chini ya mnyama akienda kinyume na mnyama anauwawa
 
Duniani tunapita njia tu, ujue anaetawala dunia ni shetani, kuna uwezekano upitie mikono ya shetani uende mbinguni? Hapa tumepigwa fix na wazungu, wote tunaenda motoni kwa kuwa tunapitia katika mikono ya shetani. Tujitahidi kuwa rafiki na shetani ili tuishi vizuri kabla ya kuanza safari ya motoni.
 
Back
Top Bottom