TANZIA Mkuu wa Idara ya Uchumi Chuo cha Diplomasia, Dkt. Ahmed Mtengwa afariki dunia

TANZIA Mkuu wa Idara ya Uchumi Chuo cha Diplomasia, Dkt. Ahmed Mtengwa afariki dunia

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
11,936
Reaction score
15,196
Habari kwenu ndugu zangu.

Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Uchumi wa Chuo cha Diplomasia Kurasini Dar es Salaam amefariki Dunia mapema leo.

Dkt. Mtengwa alifariki katika hospital ya Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwao Masaki DSM.

Pumzika kwa amani Dkt. Mtengwa poleni wanataaluma.
 
Ukisoma kwa Bible kuna story ya Yona, sasa walivyona Jahazi inazama na watu wote wako busy kusaidia jahazi isizame ndiposa wakagundua kuwa iko simblisi moja imetulia, hata haijitingishi. Kura zikapigwa na kura za kishindo zikampata yeye wakaaamua kumtosa kwa bahati Na bahari ikawa shwari Mara moja.

Mutafuteni Yona wenu Tz, lazima Kuna Yona. Huenda amejificha pahali mimi sijui.
 
Kwa sababu tunakanusha kila kitu ndio maana tunashindwa kushauri watu waliokuwa na close contacts kujitenga kwa muda kwa tahadhari, vingenevyo tunasambaza tu wengine wako strong wengine dhaifu. Kama leo nimeona confernce ya Simba yaani Hajj Manara anasogeza tu pua kwa kocha hana hata wasi wasi kuwa tukae kuwacha nafasi kidogo, wanapumuliana tu.
 
Ukisoma kwa Bible kuna story ya Yona, sasa walivyona Jahazi inazama na watu wote wako busy kusaidia jahazi isizame ndiposa wakagundua kuwa iko simblisi moja imetulia, hata haijitingishi. Kura zikapigwa na kura za kishindo zikampata yeye wakaaamua kumtosa kwa bahati Na bahari ikawa shwari Mara moja.

Mutafuteni Yona wenu Tz, lazima Kuna Yona. Huenda amejificha pahali mimi sijui.
Ukimaanisha kajiificha Cha***
 
Kwa sababu tunakanusha kila kitu ndio maana tunashindwa kushauri watu waliokuwa na close contacts kujitenga kwa muda kwa tahadhari, vingenevyo tunasambaza tu wengine wako strong wengine dhaifu. Kama leo nimeona confernce ya Simba yaani Hajj Manara anasogeza tu pua kwa kocha hana hata wasi wasi kuwa tukae kuwacha nafasi kidogo, wanapumuliana tu.
Wao wanajali nyomi tu watu wajae
Nndy nae kmpokea koffie mnzk kavaa barakoa yeye yupo yupo tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom