Dunia tunapita,siamini Ahmed masikiniMtengwa is gone! Mtengwa!!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia tunapita,siamini Ahmed masikiniMtengwa is gone! Mtengwa!!!?
[emoji16][emoji16][emoji16]Adui kavamia nyumbani baba kazama uvunguni mama na watoto ndio wanapambana [emoji1]
Alikuja siku moja ofisini kwangu kuniuliza aina bora ya washing machine ili anunue nikamuelekeza vizuriDunia tunapita,siamini Ahmed masikini
Huyo anamaradhi yake tokea kitambo sana.Habari kwenu ndugu zangu.
Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Uchumi wa Chuo cha Diplomasia Kurasini Dar es Salaam amefariki Dunia mapema leo.
Dkt. Mtengwa alifariki katika hospital ya Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwao Masaki DSM.
Pumzika kwa amani Dkt. Mtengwa poleni wanataaluma.
Nasikia alikuwa mzima mpaka hiyo jana anafariki vitoto vimeenda shule kama kawaida vimeenda chukuliwa baba alipofariki,ila alinenepa sana Ahmed japo ahadi ikifika huwezi zuiaAlikuja siku moja ofisini kwangu kuniuliza aina bora ya washing machine ili anunue nikamuelekeza vizuri
Ndo huyo mkuu.Baba yake huyu Dr Mtengwa alipambana sana na Jk kwny ubunge wakati Jk anaingia bungen kwa mara ya kwanza
Mungu atusaidie.Shule na vyuo vitafungwa soon
Kwa sababu tunakanusha kila kitu ndio maana tunashindwa kushauri watu waliokuwa na close contacts kujitenga kwa muda kwa tahadhari, vingenevyo tunasambaza tu wengine wako strong wengine dhaifu. Kama leo nimeona confernce ya Simba yaani Hajj Manara anasogeza tu pua kwa kocha hana hata wasi wasi kuwa tukae kuwacha nafasi kidogo, wanapumuliana tu.
Haikuwa radio call. Ilikuwa simu ya mkononi. Mbwembwe za mjiniAlikuwa anapenda kutembea na Radio call
Sijui ya Kazi gani
AiseeeeeHaikuwa radio call. Ilikuwa simu ya mkononi. Mbwembwe za mjini