Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na haya maconcert ya wasani kila kukichaShule na vyuo vitafungwa soon
Habari kwenu ndugu zangu.
Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Uchumi wa Chuo cha Diplomasia Kurasini Dar Es Salaam amefariki Dunia mapema leo.
Dkt. Mtengwa alifariki katika hospital ya Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwao Masaki DSM.
Pumzika kwa amani Dkt. Mtengwa poleni wanataaluma.
Alionya nini?Wizara ya Fedha, Mipango na Uchumi imepata pigo. Mipango keshaonya
Umeona eeh. Sosho media zote zimejaa TANZIA tu, mpaka tunaogopa kuzifunguaAisee yaani kila nikilog in nakutana na Tanzia kuna kitu hakiko sawa kwa kweli ni kweli watu walikuwa wanafariki hapo kabla lakn hii ya sasa imezidi tuweni waangalifu tunawe mikono, tutumie sanitizer tupia na barakoa haikupunguzii kitu ukitenda hayo ila itakusaidia kujiepusha hata kama siyo corona utajiepusha na magonjwa mengine yaambukizwayo kwa njia ya hewa.
Tumepewa maarifa tuyatumie, afya yako inalindwa na wewe binafsi na siyo mwingine
pia usisahau Yohana kwa kingereza ni John.Ukisoma kwa Bible kuna story ya Yona, sasa walivyona Jahazi inazama na watu wote wako busy kusaidia jahazi isizame ndiposa wakagundua kuwa iko simblisi moja imetulia, hata haijitingishi. Kura zikapigwa na kura za kishindo zikampata yeye wakaaamua kumtosa kwa bahati Na bahari ikawa shwari Mara moja.
Mutafuteni Yona wenu Tz, lazima Kuna Yona. Huenda amejificha pahali mimi sijui.
Hakika sisi ni wa Allah na kwake Tutarejea hivyo ndivyo inafaa tuseme pale tunapopata msiba mkubwa. Hakika tumempoteza mtu ambaye bado tulimhitaji. Allah ampe kauli thabit na amsamehe pale alipokosea. AmiinMmh
R I.p
Mbona matangazo ya vifo redioni hushituki na kila siku huwa Kuna matangazo ya vifo.Umeona eeh. Sosho media zote zimejaa TANZIA tu, mpaka tunaogopa kuzi
Muda ninaosikiliza redio huwa hakuna matangazo ya vifo mkuu. Tena sikumbuki lini niliyasikia. Redio huwa nasikiliza kuanzia saa 11 alfajiri mpaka saa 12.30 asb, then naingia kwa kaisari. Baada ya hapo nasikiliza tena kuanzia saa 12 jioni dira ya dunia.Mbona matangazo ya vifo redioni hushituki na kila siku huwa Kuna matangazo ya vifo.
Adui kavamia nyumbani baba kazama uvunguni mama na watoto ndio wanapambana 😄