Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa kwa kwa
Huu sasa ni utani wa mwaka. Crap!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu sasa ni utani wa mwaka. Crap!!
Hivi wewe, timu unapoona huwezi kupata namba unafanyaje zaidi ya kusaka namba timu ya daraja la chini?Wenye akili wanazidi kulikimbia jumba bovu
Ni kweli Ila Kama timu Ni Bora Ina viwango kwanini wachezaji na benchi la ufundi wanaikimbia kila siku? Na hakuna wachezaji Wala viongozi wanaojiunga na hiyo timu zaidi ya kuikimbia?Hivi wewe, timu unapoona huwezi kupata namba unafanyaje zaidi ya kusaka namba timu ya daraja la chini?
Mzee Mrema wewe bhana! Pole sana! Kwanini hamtafuti wanachama wa ccm? Mrema ulitudanganya tukasukuma gari yako na kupigwa mabomu, kumbe ni wale wale tu. Kama unavuruga upinzani kwa namna hii unayofanya, historia inaweza kuja kukuweka pabaya mzee.Watanzania wenzetu wasalaam,
Leo tumepokea wanachama wapya wawili toka CHADEMA
1. Oscar Kaijage Kaindoa
2. Bi Anna Dulle
Ni chama hicho? Maana mimi tu ndo hata sivijui vyama vya siasA zaidi ya sisiemu na chadema[emoji23][emoji23]
Asante sana mkuu,
Au niangazie JAHAZI ASILIA wanaweza wakanipa fursa hiyo
Ni chama hicho? Maana mimi tu ndo hata sivijui vyama vya siasA zaidi ya sisiemu na chadema
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mimi naomba namba nigombee Urais mkuu wangu
Au tayari mna mgombea
Umetumia kipimo gani kuthibitisha kuwa hao wana akili?Wenye akili wanazidi kulikimbia jumba bovu
Inategemea unachezea nchi gani.Kiwango kimepanda,Unatoka ligi kuu unaenda ligi daraja la pili.
Inatajwa sana kama COVID 19Kila mtu anaikimbilia Chadema tu, yaani ukitaka usikilizwe basi ni Kutaja Chadema utadhani ndio kinaongoza serikali
Mwenye akili hawezi kuwa mwana Sacco's,kuondoka kwao Kuna dhihirisha wamejitambuaUmetumia kipimo gani kuthibitisha kuwa hao wana akili?
Hicho ndicho kipimo? akili za LB7 za ajabu kweli? Hebu weka wasifu wao tuone!Mwenye akili hawezi kuwa mwana Sacco's,kuondoka kwao Kuna dhihirisha wamejitambua
Haya tupe kipimo chako basi wewe lesbianHicho ndicho kipimo? akili za LB7 za ajabu kweli? Hebu weka wasifu wao tuone!
Weka wasfu wao we mbwiga!Haya tupe kipimo chako basi wewe lesbian
Nenda mtaa wa ufipa utaupataWeka wasfu wao we mbwiga!
Najua you know nothing! bwege....Nenda mtaa wa ufipa utaupata
Karibu sana NyumbuNajua you know nothing! bwege....
Karibu sana Chief,