Mkuu wa Intelijensia wa CHADEMA kanda ya Serengeti pamoja na M/kiti wa Bawacha Jimbo la Singida Mashariki Bi Anna Dulle wajiunga na TLP

Mkuu wa Intelijensia wa CHADEMA kanda ya Serengeti pamoja na M/kiti wa Bawacha Jimbo la Singida Mashariki Bi Anna Dulle wajiunga na TLP

Chadema kwishilia mbali kinapoteza tu hakuna wanaohamia!!!! Kimefikia mwisho wa kupendwa yaani watu wanaona heri waende TLP kulikokubaki CHadema aiseeee

Kichekesho ni pale mchepuko unapofanya siasa kama za mume wake. TLP hawapati wanachama toka Tadea, ccm, APPT maendeleo, jahazi nk, bali wanapata toka cdm tu. Hizo ni mbinu za kizee ile mbaya.
 
Naona michepuko ya ccm na nyie mmeiga siasa za mume wenu kupata wanachama lakini cdm tu!
Acha wivu wa kisiasa. Watanzania wameshajua Chadema ni matapeli wa kisiasa. Mlikuwa mnagawana ruzuku kama vile nyama choma.
 
Acha wivu wa kisiasa. Watanzania wameshajua Chadema ni matapeli wa kisiasa. Mlikuwa mnagawana ruzuku kama vile nyama choma.

Ni kweli, si ndio maana michepuko ya ccm nayo inafanya siasa zilizopitwa na wakati?
 
Kichekesho ni pale mchepuko unapofanya siasa kama za mume wake. TLP hawapati wanachama toka Tadea, ccm, APPT maendeleo, jahazi nk, bali wanapata toka cdm tu. Hizo ni mbinu za kizee ile mbaya.
Ina maana chadema Ni danguro la kuuza Malaya Sababu nyie kila anayehama chadema huwa mnasema kanunuliwa Ina maana huko chadema mna danguro la madiwani na wabunge kujiuza?
 
Acha wivu wa kisiasa. Watanzania wameshajua Chadema ni matapeli wa kisiasa. Mlikuwa mnagawana ruzuku kama vile nyama choma.

Niwaonee wivu TLP? Hata ccm wenyewe siwaonei wivu ndio itakuwa huo mchepuko wake?
 
Ina maana chadema Ni danguro la kuuza Malaya Sababu nyie kila anayehama chadema huwa mnasema kanunuliwa Ina maana huko chadema mna danguro la madiwani na wabunge kujiuza?

Cdm ina watu wenye mvuto, hivyo vyama vilivyopoteza mvuto vikiongozwa na ccm, vinadhani vikiwanunua watu wa cdm watapata mvuto. Kutokana na vyuma kukaza, hakuna mtu anaweza kuacha hela za mabwege.
 
Cdm ina watu wenye mvuto, hivyo vyama vilivyopoteza mvuto vikiongozwa na ccm, vinadhani vikiwanunua watu wa cdm watapata mvuto. Kutokana na vyuma kukaza, hakuna mtu anaweza kuacha hela za mabwege.
Malaya yeyote ana mvuto narudi palepale Ina maana nyie chadema mna danguro la kuuza malaya la kufuga Malaya wenye mvuto wa kuuzia vyama vingine ikiwemo CCM ? Ina maana nyie sio chama Cha suasa Bali Ni danguro la kuuza wanasiasa wenye mvuto wa kununuliwa na CCM na vyama vingine? Ina maana mlidanganya msajili kuwa mnasajili chama Cha siasa kumbe mnafungua danguro la kuuza wabunge na madiwani wenye mvuto kwa vyama vingine?
 
Malaya yeyote ana mvuto narudi palepale Ina maana nyie chadema mna danguro la kuuza malaya la kufuga Malaya wenye mvuto wa kuuzia vyama vingine ikiwemo CCM ? Ina maana nyie sio chama Cha suasa Bali Ni danguro la kuuza wanasiasa wenye mvuto wa kununuliwa na CCM na vyama vingine? Ina maana mlidanganya msajili kuwa mnasajili chama Cha siasa kumbe mnafungua danguro la kuuza wabunge na madiwani wenye mvuto kwa vyama vingine?

Hata ww unaweza kuacha hela za Mabwege? Kwa mfano unaachaje 1m+ za bwerere, wakati unaweza kuhama muda wowote? Hata mimi nikiletewa naunga mkono kinafiki, kisha navuta mpunga.
 
Hata ww unaweza kuacha hela za Mabwege? Kwa mfano unaachaje 1m+ za bwerere, wakati unaweza kuhama muda wowote? Hata mimi nikiletewa naunga mkono kinafiki, kisha navuta mpunga.
Kwa hiyo chadema ni danguro la mnada wa malaya wa kisiasa? Kuwa mwenye Bei ya juu anachkukua Malaya wa kisiasa awe Diwani, mbunge au mgombea uraisi?
 
Kwa hiyo chadema ni danguro la mnada wa malaya wa kisiasa? Kuwa mwenye Bei ya juu anachkukua Malaya wa kisiasa awe Diwani, mbunge au mgombea uraisi?

Vyovyote utakavyo, lakini habari ndio hiyo.
 
Back
Top Bottom