Tetesi: Mkuu wa jeshi la Magereza nchini huenda akatumbuliwa

Tetesi: Mkuu wa jeshi la Magereza nchini huenda akatumbuliwa

Atumbuliwe huyo....ameonyesha utovu wa nithamu.Kwa nn anunue uniform nje wakati magereza wana msfundi wao?
 
Tayari mmeshatoka pangoni!Hamtaki kuguswa mmesoma,mnastahili kuwekwa nyie tu sehemu zote,sasa mnatumbuliwa kila sehemu mnalia kimya kimya jamaa hawapendi!
Wewe unaelaani kushambuliana kiukabila,nioneshe post yako moja tu uliolaani kikwtete kuitwa mkwere humu

Mkuu acha hasira. Huu mchezo hauhitaji hasira! Tulia ujipange ati.
 
Wana JF,

Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;

1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.

Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
Kesha fikia umri wa kustaafu huyo!! Akiondolewa haitakuwa kwa sababu ya kutumbuliwa bali umri .... ilikuwa astaafu tangu mwaka jana kama sikosei!!
 
Wana JF,

Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;

1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.

Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
Labda hilo jina la mwisho,ndio itakua sababu. Kubwa kabisa ya kutumbuliwa.
 
Iliwezekana na DCI sembuse huyo wa magereza tu
Hats akitumbuliwa Leo bado kwa mujibu Wa sheria atapata gari la kutembelea,mlinzi na Nyumba ya kukaa na 80%,ya mshahara anaoupokea sasa kwa kufikia tu cheo cha Kamishna
 
huwa sielewi kwanini jeshi la magereza tangu lianze linaongozwa na wachaga sijajua nikwasababu gani sijui sijui nikwanini yani tangu lianzishwe.
Si kweli mkuu,
Nawakumbuka wafuatao
1.Geneya
2.Mangara
3.Banzi
4.Mwanguku
Kwa usahihi zaidi
Obadia Rugimbana(62-66) huyu ni baba yakemzazi Jordan Rugimbana Dc Kinondoni,Ramadhani Nyamka(67-77),Gabriel Ganja Geneya (77- 83 or 82),Simon Mwanguku,Jumanne Mangara,Ornel Mallisa( Benno Mallisa dad...tetesi am not sure),Nicas Banzi 2001-2007( Huyu ndo alitoka kwa aibupamoja na waziri wake Omari Mapuri baada yakupiga waandishi wa habari) halafu Agustino Nanyaro 2007 mpaka 2012 kamuachia Fidelis Mboya anayekaimu kuanzia May


Note:
..........kuanzia Uhuru jeshi liliongozwa na Commisioner of Prisons ila muundo ulikuja kubadilishwa mwaka 1974 na mkuu kuwa Commisioner General of Prisons na hivyo basi kumfanya RamadhaniNyamka kuwa mtanzaniawa kwanza kushika cheo hicho

.........graduate wa kwanza(Degree holder) kwenye majeshi yote ya Tanzania alitokea Magereza, Commisioner Ganja Geneya
 
Huu ujinga mnapata wapi? Umeandika wakuu wa majeshi! DCI ni mkuu wa jeshi? La polisi au la jkt? Nyumbu wewe

Soma vizuri sio wakuu wa majeshi bali ni mkuu wa jeshi la Magereza makengeza wee
 
Tenda hizo , na yeye aliukuta huu utaratibu . Makampuni yaliyokuwa yatapata tenda kilio kwao . Nimekumbuka uniform za wafanyakazi wa Air Tanzania zilikuwa zinashonwa nje ya nchi , wakati shirika lilikuwa na ndege moja tu . Ila kusema kweli watu walikula sana pesa ya umma .
ilachakushangaza viranja wazamu waliopita wanaachwa wapumzike
 
Wana JF,

Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo;

1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi
2. Jeshi la magereza kushirikisha watu binafsi katika ujenzi, hali hii ilimchukiza Mh Rais.

Aidha kutokana na machukizo hayo ni dhahiri Mh Rais atatengua uteuzi wa Mkuu wa jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali John Casmir Minja.
Mkuu hao Viumbe hawaguswagi kabisa Kabisa Kabisa Kabisa.
By the way,CGP alishastaafu since Mwaka jana akapewa one year extensio n
 
Back
Top Bottom