Mkuu wa Kikundi cha Wagner Yevgeny Prigozhin, ametoa maoni yake juu ya mzizi wa matatizo nchini Niger

Mkuu wa Kikundi cha Wagner Yevgeny Prigozhin, ametoa maoni yake juu ya mzizi wa matatizo nchini Niger

Cheki huyu mjinga mmoja ambaye anaamini bila misaada ya nguruwe wa Ulaya , waafrika hawawezi kujitegemea. Hizi fikra za utegemezi kama hujui zinadumaza ubongo na kudhoofisha akili yako.
Vipi ushawai kutengeneza chochote apo nyumbani kwako ambacho tunaweza kulitumia kwa kujitegemea? Au unatumia Tekinolojia ya China, EU, US na Urusi kunitukana. Naamaanisha una Tekinolojia hapo ya Kibantu? Kama unayo una haki ya kunitukana.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Vipi ushawai kutengeneza chochote apo nyumbani kwako ambacho tunaweza kulitumia kwa kujitegemea? Au unatumia Tekinolojia ya China, EU, US na Urusi kunitukana. Naamaanisha una Tekinolojia hapo ya Kibantu? Kama unayo una haki ya kunitukana.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Ndiyo ninayo.

Kwa hiyo wewe huna mpango mkakati wowote wa kujitegemeea na unadhani uliletwa duniani ili uishi kwa kuwategemea wazungu ?
 
Yule mpiga punyeto wa kimataifa na mashoga hawawezi kuona hili sababu wameahidiwa watakuwa huru kusodomoana😠

Yani inatakiwa ifike mahali huku Afrika tukiona mbwa yeyote anayewaunga NATO mkono tumnyongelee mbali! Enzi ya mababu zetu watu kama hawa ndio walishirikiana na wakoloni katikati kuendeleza biashara ya utumwa, mauaji ya kikatili na uporaji wa rasilimali za Afrika.
Hawa watu ni wanyonyaji wanachukua resources zako za kuwatajilisha na wanakuacha masikini hebu fikiria mkuu 25% ya uranium ya EU inatoka Niger lakini wanapata 5% ya mapato ya mali yao.

Inchi 14 za Afrika zilizowahi kuwa makoloni ya ufaransa kwa pamoja zinamlipa ufaransa dollar billion 500 Kila mwaka.

Harafu anakuja mtu analaani haya mapinduzi ,huyo ni wa kumpiga na vibao kabisa apate akili.
 
Hawa watu ni wanyonyaji wanachukua resources zako za kuwatajilisha na wanakuacha masikini hebu fikiria mkuu 25% ya uranium ya EU inatoka Niger lakini wanapata 5% ya mapato ya mali yao.

Inchi 14 za Afrika zilizowahi kuwa makoloni ya ufaransa kwa pamoja zinamlipa ufaransa dollar billion 500 Kila mwaka.

Harafu anakuja mtu analaani haya mapinduzi ,huyo ni wa kumpiga na vibao kabisa apate akili.
Sio vibao watu kama hao ni risasi tu
 
"Nitajibu ni nini msingi wa mabadiliko ya mamlaka nchini Niger. Msingi(tatizo) ni uchumi. Population ya watu wa Niger imekuwa katika umaskini kwa muda mrefu.

Kwa mfano, kampuni ya Ufaransa iliyochimba uranium iliiuza sokoni kwa $218, huku ikilipa Niger $11 pekee . Unaweza kufanya kazi na wawekezaji kwa msingi wa 50-50 au 30-70 (%), lakini haiwezekani kuwarudishia wazawa wa nchi, ambao walizaliwa katika nchi hii, wanaoishi katika nchi hii, na wanaotarajia hilo. maliasili za nchi hii ni zao, na kwa mujibu wa Katiba, ni mali yao, ni 5% tu ya utajiri unaopokea.

Ili kuficha uhalifu huu wa kiuchumi, nchi ilikuwa imejaa idadi kubwa ya magaidi. Idadi hii kubwa ya magaidi, kinadharia, ingepaswa kudhibitiwa na idadi kubwa ya wanajeshi tofauti, wanaofadhiliwa na UN, Umoja wa Ulaya, Wamarekani, Waingereza, na wengine. Kwa sababu hiyo, wakazi wa Niger, ambao walipaswa kuwa huru na wenye furaha kutokana na fursa za kiuchumi nchini mwao, waliporwa, na ili kuwanyamazisha, waliwekwa katika hofu kwa miongo kadhaa.

Kuonyesha kwamba wezi na waporaji hawa wanahitajika katika eneo la jimbo, namaanisha nchi za Magharibi kama Ufaransa, USA, na kadhalika, umati wa askari walipelekwa huko ambao hawakufanya chochote isipokuwa kupokea bajeti kubwa ambazo pia zilifujwa katika ngazi mbalimbali. Ndio maana mabadiliko nchini Niger yalikuwa ya lazima.

Nguvu iliyokuwa katika muungano na Bazoum (rais aliyeondolewa madarakani) na wafuasi wake, ilifunika tu, kuruhusu muungano wa watu waliopora taifa kuwepo katika eneo la Niger. Ni hayo tu. Kwa hivyo, haya ni mapambano ya ukombozi, harakati za ukombozi wa uhuru wa nchi hii, na Mungu awape mafanikio."

=======================
Jamaa ana hoja fikirishi....hizi operations za UN na kupambana na ugaidi ni miradi ya watu tu kuvuna pesa.
 
Ndiyo ninayo.

Kwa hiyo wewe huna mpango mkakati wowote wa kujitegemeea na unadhani uliletwa duniani ili uishi kwa kuwategemea wazungu ?
Kama Baba nimemkuta ana copy na ku paste, Viongozi hivyo hivyo, sasa Mimi nikienda tofauti si ndo CCM wataniita nawachelewesha?. Kama unacho cha tofauti hongera sana, utafika mbali, na naamini nitauona ugunduzi wako kabla sijatoka duniani.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Sasa zikitoka kwa Mfaransa, then Mrusi nae ataenda kunyonya?. Au wanataka kubadili Mkoloni? Vipi Mali,na Bukina Faso nazo hari zao kiuchumi si pia mbaya boss. Tukitaka kuendelea tusishawishiwe na Urusi, US, France au China bali tuwe sisi na Tekinolojia yetu tu.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Kununua au kutumia teknolojia ya kigeni kwa manufaa yako sio kosa, maendeleo endelevu ni mchakato mrefu kuanzia kuwekeza kwenye elimu bora kwa raia wako, uhakika wa chakula cha kuwatosheleza na mengine mengi.
 
"Nitajibu ni nini msingi wa mabadiliko ya mamlaka nchini Niger. Msingi(tatizo) ni uchumi. Population ya watu wa Niger imekuwa katika umaskini kwa muda mrefu.

Kwa mfano, kampuni ya Ufaransa iliyochimba uranium iliiuza sokoni kwa $218, huku ikilipa Niger $11 pekee . Unaweza kufanya kazi na wawekezaji kwa msingi wa 50-50 au 30-70 (%), lakini haiwezekani kuwarudishia wazawa wa nchi, ambao walizaliwa katika nchi hii, wanaoishi katika nchi hii, na wanaotarajia hilo. maliasili za nchi hii ni zao, na kwa mujibu wa Katiba, ni mali yao, ni 5% tu ya utajiri unaopokea.

Ili kuficha uhalifu huu wa kiuchumi, nchi ilikuwa imejaa idadi kubwa ya magaidi. Idadi hii kubwa ya magaidi, kinadharia, ingepaswa kudhibitiwa na idadi kubwa ya wanajeshi tofauti, wanaofadhiliwa na UN, Umoja wa Ulaya, Wamarekani, Waingereza, na wengine. Kwa sababu hiyo, wakazi wa Niger, ambao walipaswa kuwa huru na wenye furaha kutokana na fursa za kiuchumi nchini mwao, waliporwa, na ili kuwanyamazisha, waliwekwa katika hofu kwa miongo kadhaa.

Kuonyesha kwamba wezi na waporaji hawa wanahitajika katika eneo la jimbo, namaanisha nchi za Magharibi kama Ufaransa, USA, na kadhalika, umati wa askari walipelekwa huko ambao hawakufanya chochote isipokuwa kupokea bajeti kubwa ambazo pia zilifujwa katika ngazi mbalimbali. Ndio maana mabadiliko nchini Niger yalikuwa ya lazima.

Nguvu iliyokuwa katika muungano na Bazoum (rais aliyeondolewa madarakani) na wafuasi wake, ilifunika tu, kuruhusu muungano wa watu waliopora taifa kuwepo katika eneo la Niger. Ni hayo tu. Kwa hivyo, haya ni mapambano ya ukombozi, harakati za ukombozi wa uhuru wa nchi hii, na Mungu awape mafanikio."

=======================
Ngoja tumsubiri mrusi afike,na baada ya miaka kadhaa tufanye tathimini.
DPW ambayo ndo mjadala wa kitaifa kwa sasa kwa sababu ya dhuruma ni ya ufaransa?
Majadiliano yanayoendelea Zambia kuhusu madeni makubwa ya China na kutaka kutaifisha miundo mbinu ya kitaifa imesimamiwa na ufaransa?

Ninachoweza kusema ni kwamba ulimwengu umekuwa wa kibiashara kuliko ubinadamu.
China ya Mao na urusi ya ujamaa alimaarufu kama wasoviet na sasa ni tofauti,kama nakudanganya watafute waajiliwa wa kampuni za kichina hapa nchini au za kirusi kama zipo uwaulize kuhusu maslahi ulinganishe na waajiliwa wa kampuni za magharibi ulinganishe unafuu uko wapi.
 
Mhhh. Ufaransa ana ardhi nyingi anazomiliki( France Territories) kama ardhi yake au nchi yake nje ya Ufaransa, kuliko hizo African francocone au nchi zilizo huru kisiasa lakini zinaitegemea Ufaransa. Ufaransa haiwezi kufirisika kwa sababu ya Hizo nchi za Africa ila hizo nchi za Africa zitateseka kwa kumkosa Ufaransa. Africa haijiwezi na Watu wake ni watu wa Lawama. Hizo chini ni ardhi za Ufaransa inazomiliki katika bahari ya Hindi, Pacifiki na Attlantic, je Senegal au Ivory coast akimkataa Mfaransa, Mfaransa atafirisika?.View attachment 2707833

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Wewe sio MoroOne, Wewe ni Moron
 
Chama kinachotuongoza ni photocopy ya ujamaa na kujitegemea na kina urafiki na chama cha uchina,
vipi kuhusu haki na usawa,au tunaangalia kwa kuwa kimedhibiti uhalifu wa kigaidi?
 
"Without Africa, France will slide down into the rank of a third [world] power."

—Former French President Jacques Chirac, March 2008
France ilikuwa superpower kabla haijaja Afrika, ilikuwa na gold reserve kabla ya kuja na hapa imekuja kuongezea kwa wizi. Tatizo la Waafrika ni kukurupuka bila strategies, na kuibiwa kutoka kwa bwana huyu kwenda kwa bwana yule bila kujipanga na kuja na terms zetu.
Hakuna nchi itatoka Ulaya au Asia ije kutukomboa kama sisi akili zetu ni za kizubaifu, wala hakuna superpower itakuwa third world country kisa imeondolewa influence ya Afrika.

Huwezi kujiliza kila kukicha na huchukui hatua, Algeria walipambana na Ufaransa hawakuwaita Wachina au Warusi kuja kuwaondoa. Leo hii Algeria inaweka terms zake. Misri ilipambania mfereji wa Suez dhidi ya Ufaransa na Uingereza hata kama Marekani iliisaidia Misri iliweka terms zake na haikushangilia tu na kisha kulala kwa kutegemea mabwana wengine. Ukiachana na North Africa wenye uarabu, sisi huku unakuta wanashangilia kubadili bwana kumleta mwingine ambaye hamna kitu atafanya cha maana sababu hakuna conditions kapewa, kujichekesha na kujipendekeza huku na kule.
 
France ilikuwa superpower kabla haijaja Afrika, ilikuwa na gold reserve kabla ya kuja na hapa imekuja kuongezea kwa wizi. Tatizo la Waafrika ni kukurupuka bila strategies, na kuibiwa kutoka kwa bwana huyu kwenda kwa bwana yule bila kujipanga na kuja na terms zetu.
Hakuna nchi itatoka Ulaya au Asia ije kutukomboa kama sisi akili zetu ni za kizubaifu, wala hakuna superpower itakuwa third world country kisa imeondolewa influence ya Afrika.

Huwezi kujiliza kila kukicha na huchukui hatua, Algeria walipambana na Ufaransa hawakuwaita Wachina au Warusi kuja kuwaondoa. Leo hii Algeria inaweka terms zake. Misri ilipambania mfereji wa Suez dhidi ya Ufaransa na Uingereza hata kama Marekani iliisaidia Misri iliweka terms zake na haikushangilia tu na kisha kulala kwa kutegemea mabwana wengine. Ukiachana na North Africa wenye uarabu, sisi huku unakuta wanashangilia kubadili bwana kumleta mwingine ambaye hamna kitu atafanya cha maana sababu hakuna conditions kapewa, kujichekesha na kujipendekeza huku na kule.
Kwani Niger imesema inamtaka Bwana Mrusi?
 
Back
Top Bottom