Mkuu wa kituo cha Polisi Ruvuma kutoa escot kwa mashabiki wa Yanga

Mkuu wa kituo cha Polisi Ruvuma kutoa escot kwa mashabiki wa Yanga

Trinity

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2017
Posts
1,828
Reaction score
3,508
Mkuu wa kituo anasema wamepata habari ya ki intelejensia kwamba mashaki wa yanga wamepanga safari ya kutoka Songea kuelekea Dar kushuhudia mechi ya Yanga na wapinzani wake.

Kufuatia safari hiyo mkuu amesema watatoa escot wanapoenda na watakaporudi na ikiwezekana wataweka na taa pale juu ya gari ili hilo bus lisisimamishwe barabaran.


 
Back
Top Bottom