Mkuu wa Majeshi wa Kenya alitaka azikwe bila Jeneza na asicheleweshwe kuzikwa

Nimeangalia live kwa tv wanavyomuaga Marehemu..


Itoshe kusema hakukuwa na utaratibu mzuri wa kumuaga mtu mkubwa kama yule
[/QUOTEkumekuwa na utaratibu wa hovyo hata kwa watu wa kawaida katika familia wakati wa kuzika
 
Kwangu tunafanana mitazamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…