Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umeshindwa kutofatisha sitaweza hata mimi.Unaweza kutofautisha ulichoandika mwenzio na ulichoandika ww
Aaaah Ushimen si umuambie tuu. Unaaaanzaaa mbaliiiiii. Jivike ujasiri tu na umuambie. Kumbuka kwenye hii makitu haina cha kijana ama mzee. Kwanza hao wazee watamu kichiz halaf experienced wana miguno flani hivi ya kipekee unapowafikishaHabari yako mwali..!!
Nisiku nyingi sijakuona hapa ndani.
Karibu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aaaah Ushimen si umuambie tuu. Unaaaanzaaa mbaliiiiii. Jivike ujasiri tu na umuambie. Kumbuka kwenye hii makitu haina cha kijana ama mzee. Kwanza hao wazee watamu kichiz halaf experienced wana miguno flani hivi ya kipekee unapowafikisha
Daaah, Wewe unakwenda lini?Tuwaandae sasa waende ukraine kudumisha umoja na kupiga beberu putin
Daaah, Wewe unakwenda lini?
Tajiri Kichwa ,kweli wewe kichwaNikisha ripoti kambini
Ama kwa hakika,Safi sana. Huu ndio unyenyekevu watanzania tunatakiwa kuwa nao.
Unahangaikia kupata uteuzi. Utasubiri sanaView attachment 2140422
===
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe na kuwarudisha Vijana wote wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "
Hata hivyo kwa bahati mbaya JWTZ ina taarifa kuwa Kijana mmoja kati ya Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853,
Sasa ni rasmi Mama yetu mnyenyekevu ameagiza Vijana wote 853 warudi makambini,
Asante CDF, Asante Madame President,
Nasisitiza hakuna kama Rais Samia,
Hawa vyeti walaipata vizuri tu wakakusanywa toka makambi mbalimbali wakapelekwa IKULU CHAMWINO kufika kule vyeti vikachukuliwa wakaanza na ujenzi mwisho wa siku kuna Amri wakapewa wengine hasa hao 854 wakagoma kutii ikabidi wafukuzwe na siku 5 baada ya kurudishwa majumbani CDF akatangaza kufuta mikataba yao na wakapigwa BAN kuajiriwa kokote kisa hawana vyeti!! Wale ambao hawakugoma wameshaanza Course tangu mwaka Jana mwishoni huko KIHANGAIKO RTS, na wachache walikuwa OLJORO Hawa wamesamehewa na watarejea kuanza mafunzo Mara moja huko MAFINGA Kama walivyoahidiwa na Rais JPM RIPHawakupata vyeti vya kuhitimu ujue hilo.
DahAcha kujipigia promo!!!
Sema umetisha.
Kwani dunia ni yetu!!!?
lakini sio kwa ajili ya utambulisho..... blood groups sio fingerprint!
Yaani wanajeshi 853 WATOVU WA NIDHAMU WAREJESHWA. Hii kitu si sawa. Otherwise waseme waliwasingizia. Jeshi ni kitengo nyeti tusufanye siasaNaona Jeshi la Waaasi miaka 20 mbele, tusilete Siasa kwenye Ulinzi na Usalama wa Taifa letu. Unarudisha Jeshini Askari waaasi wa Kiapo cha Kijeshi.. africa is shithole, nitakuwa wa mwisho kuelewa hii logic
Kiapo cha jeshi walikula liniNaona Jeshi la Waaasi miaka 20 mbele, tusilete Siasa kwenye Ulinzi na Usalama wa Taifa letu. Unarudisha Jeshini Askari waaasi wa Kiapo cha Kijeshi.. africa is shithole, nitakuwa wa mwisho kuelewa hii logic