Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi awasamehe waliofukuzwa JKT, watakiwa kurudi jeshini

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi awasamehe waliofukuzwa JKT, watakiwa kurudi jeshini

Mama ni mtu wa haki sana mungu ambariki kwa kuwaona vijana wenzetu.
 
Hilo JARAMBE WATAKAOKUTANA NALO mungu tu ndio atakua shahidi
 
Habari yako mwali..!!
Nisiku nyingi sijakuona hapa ndani.
Karibu sana
Aaaah Ushimen si umuambie tuu. Unaaaanzaaa mbaliiiiii. Jivike ujasiri tu na umuambie. Kumbuka kwenye hii makitu haina cha kijana ama mzee. Kwanza hao wazee watamu kichiz halaf experienced wana miguno flani hivi ya kipekee unapowafikisha
 
Aaaah Ushimen si umuambie tuu. Unaaaanzaaa mbaliiiiii. Jivike ujasiri tu na umuambie. Kumbuka kwenye hii makitu haina cha kijana ama mzee. Kwanza hao wazee watamu kichiz halaf experienced wana miguno flani hivi ya kipekee unapowafikisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 2140422
===
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo,

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe na kuwarudisha Vijana wote wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "

Hata hivyo kwa bahati mbaya JWTZ ina taarifa kuwa Kijana mmoja kati ya Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853,

Sasa ni rasmi Mama yetu mnyenyekevu ameagiza Vijana wote 853 warudi makambini,

Asante CDF, Asante Madame President,

Nasisitiza hakuna kama Rais Samia,
Unahangaikia kupata uteuzi. Utasubiri sana

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
nahisi vita vya ukrain na urusi ndivyo vichangia pakubwa,yaani kuimalisha jeshi la taifa,watapata ajira ya moja kwa moja hawa.
 
Hawakupata vyeti vya kuhitimu ujue hilo.
Hawa vyeti walaipata vizuri tu wakakusanywa toka makambi mbalimbali wakapelekwa IKULU CHAMWINO kufika kule vyeti vikachukuliwa wakaanza na ujenzi mwisho wa siku kuna Amri wakapewa wengine hasa hao 854 wakagoma kutii ikabidi wafukuzwe na siku 5 baada ya kurudishwa majumbani CDF akatangaza kufuta mikataba yao na wakapigwa BAN kuajiriwa kokote kisa hawana vyeti!! Wale ambao hawakugoma wameshaanza Course tangu mwaka Jana mwishoni huko KIHANGAIKO RTS, na wachache walikuwa OLJORO Hawa wamesamehewa na watarejea kuanza mafunzo Mara moja huko MAFINGA Kama walivyoahidiwa na Rais JPM RIP
 
Neno moja kwa Mama hawa vijana hawatakusahau na watakushukuru sana.
 
kupimwa blood group ni kitu cha kawaida jeshini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
lakini sio kwa ajili ya utambulisho..... blood groups sio fingerprint!

billions of people share the same blood group....

mwanajeshi aliyetoa tamko hilo KACHEMKA!

na kasema kuna watakaojipenyeza kwa sababu kwenye kundi la mamba kenge nao wamo...

CDF, MKUU WA MAJESHI mzima, professional mkubwa unafananisha wananchi na KENGE ????????

Hata kama wangekutwa na jinai ya ku forge majina, adhabu ya jinai hapa nchini ni kifungo au faini, sio kuambiwa WEWE KENGE !!!

Wanapita barabarani tunawapisha na vijing'ora mbele ya Land Cruiser kama vile waheshimiwa sana lakini hawako professional chochote, na hawajiheshimu, hawajui PUBLIC RELATIONS... how can you issue a public statement with the words MAMBA and KENGE ??????
 
Naona Jeshi la Waaasi miaka 20 mbele, tusilete Siasa kwenye Ulinzi na Usalama wa Taifa letu. Unarudisha Jeshini Askari waaasi wa Kiapo cha Kijeshi.. africa is shithole, nitakuwa wa mwisho kuelewa hii logic
Yaani wanajeshi 853 WATOVU WA NIDHAMU WAREJESHWA. Hii kitu si sawa. Otherwise waseme waliwasingizia. Jeshi ni kitengo nyeti tusufanye siasa

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Naona Jeshi la Waaasi miaka 20 mbele, tusilete Siasa kwenye Ulinzi na Usalama wa Taifa letu. Unarudisha Jeshini Askari waaasi wa Kiapo cha Kijeshi.. africa is shithole, nitakuwa wa mwisho kuelewa hii logic
Kiapo cha jeshi walikula lini
 
Back
Top Bottom