Katika hali ya kustaajabisha inadaiwa kumeibuka watu ambao wanachukua mchanga katika kaburi la Hayati Maalim Seif. Baadhi ya wakazi wameeleza kuwa mchanga huo unachukuliwa kwa imani tofauti tofauti. Aidha wapo wanaodai kuwa mchanga huo unanukia harufu ya Miski.
Katika kufafanua zaidi tukio hilo, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Bi Salama Mbarouk Khatibu amewaonya watu wanaochukua mchanga huo. Katika hili amesema Watu wanachukua mchanga waendelee kuzuiwa kwa sababu hatujui wanapochukua mchanga huo wanaenda kuufanyia nini.
Naye, RPC wa Kaskazini Pemba Juma Sadi Khamis ameonya kwamba watu wanaokuja kufanya dua wanaruhusiwa isipokuwa hawatakiwi kuchukua mchanga huo. Amesisitiza kuwa mtu akifanya hivyo itakuwa ni kosa.
Mkuu wa Mkoa huko Pemba alikozikwa aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif amepiga marufuku wananchi kwenda kuchukua mchanga kwenye kaburi la Seif kwa imani za kinabii.
Mkuu wa Mkoa amesema mamia ya wananchi kila siku huenda kaburini hapo kuchukua mchanga na hivyo kuhatarisha usalama wa kaburi.
Mkuu wa mkoa huko Pemba alikozikwa aliyekuwa mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif amepiga marufuku wananchi kwenda kuchukua mchanga kwenye kaburi la rip maalim Seif kwa imani za kinabii.
Mkuu wa mkoa amesema mamia ya wananchi kila siku huenda kaburini hapo kuchukua mchanga na hivyo kuhatarisha usalama wa kaburi.
Aisee sie wa bara ndo twasikia leo ya kwamba Maalim Seif alikua nabii wa Pemba yakhe basi Inshaalah
Mwenyezi Mungu amrehemu mja wake amwepushie adhabu ya kaburi aamin!
Mkuu wa Mkoa huko Pemba alikozikwa aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif amepiga marufuku wananchi kwenda kuchukua mchanga kwenye kaburi la Seif kwa imani za kinabii.
Mkuu wa Mkoa amesema mamia ya wananchi kila siku huenda kaburini hapo kuchukua mchanga na hivyo kuhatarisha usalama wa kaburi.
Aisee sie wa bara ndo twasikia Leo ya kwamba Maalim Seif alikua nabii wa Pemba yakhe basi Inshaalah
Mwenyezi Mungu amrehemu mja wake amwepushie adhabu ya kaburi aamin!
Mkuu wa Mkoa huko Pemba alikozikwa aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif amepiga marufuku wananchi kwenda kuchukua mchanga kwenye kaburi la Seif kwa imani za kinabii.
Mkuu wa Mkoa amesema mamia ya wananchi kila siku huenda kaburini hapo kuchukua mchanga na hivyo kuhatarisha usalama wa kaburi.