ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Huyo alifia madarakani na mda wake ungeisha angekaa pembeni tuu sawa wewe kima.Magufuli alikuwa kiongozi hadi kufa,swali lingine dada mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alifia madarakani na mda wake ungeisha angekaa pembeni tuu sawa wewe kima.Magufuli alikuwa kiongozi hadi kufa,swali lingine dada mkubwa.
Wote hawawezi. Ni changa la macho tu. Siku mbili hili suala litapoa na wadanganyika watarudi kuishi maisha waliozoea.Kwani waziri mkuu ndo anae weza?
Na hilo ni 75%Huyu roporopo hajui kuwa kaletwa Dar ili ajifikuzishe mwenyewe kazi
Mbona alikuwa Nje,na alifutwa kazi kwani alikuwa Dar?Na hilo ni 75%
Kima mamako,wewe umeuliza swali nimekujibu.Huyo alifia madarakani na mda wake ungeisha angekaa pembeni tuu sawa wewe kima.
Kima huna hoja pisha hukoKima mamako,wewe umeuliza swali nimekujibu.
Wewe ndiye huna hoja taahira mkubwa weweKima huna hoja pisha huko
Unauliza makofi polisi?Kwahiyo aliyeondolewa Dar ndiye chanzo cha matatizo
Makonda aliweza,Chamila ni mfano wa MakondaAwe makini maana hili ni Jiji sio kama alikotoka
Maandishi umeyachonga vizuri sana hapana umeyadarizi poa sana na umemaliza kibingwa.I like it.Long live RC Chalamila. Do the needful.
-Kaveli-
Membe je?Magufuli alikuwa kiongozi hadi kufa,swali lingine dada mkubwa.
Uongozi sivyo kama unavyowaza wewe,RC anaweza kushughulika na changamoto za kikodi pamoja na kurekebisha kodi zinazowanyonya wafanyabiashara?
Ama alipiga mitungi ndo akaenda kwenye mkutano
Nyie acheni Mambo yenu,Suala la kodi ni la Kitaifa siyo la Dar tuHiyo ni Dsm achunge mdomo- Kwetu chalamila kavuruga. Mkoa
Anaongea sana hafikirii
SWALI
KERO YA KODI sheria zinazolalamikiwa katunga RC...."
Task force zinaundwa na Rc
Sheria usajili magidown katunga RC
Leo wenyeviti wametoka mikoa yote ni wa Dsm.
Ni kama kujipa sifa za kijinga
Kawatukana ma RC wote wameshindwa kutatua Kero
Haya mbona wa kagera kaeleza Kero za kagera na yeye ametoka kagera
Aache kuropoka hiyo Dar siyo mafinga
Membe hakuwa kiongozi wakati anafariki.Membe je?
siyo mara ya kwanza kwake kuongoza majiji.Awe makini maana hili ni Jiji sio kama alikotoka
Mkuu ujui kua RC ni mwakilishi wa Serikali kuu? Sio kua anaweza kutengua bali anaweza kutoa ushauri na suluhu kuhusu malalamiko ya wafanyabiashara.RC anaweza kushughulika na changamoto za kikodi pamoja na kurekebisha kodi zinazowanyonya wafanyabiashara?
Ama alipiga mitungi ndo akaenda kwenye mkutano