CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Maandiko yako humu ndiyo yanakutambulisha kuwa wewe ni chawaNilishasema kuwa mimi siyo chawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandiko yako humu ndiyo yanakutambulisha kuwa wewe ni chawaNilishasema kuwa mimi siyo chawa
Mimi naandikaga UKWELI na siyo uchawa.Maandiko yako humu ndiyo yanakutambulisha kuwa wewe ni chawa
Chawa mwandamizi wewe. Ipigwe kura ya machawa mbona utawaburuza sana wenzako .Mimi naandikaga UKWELI na siyo uchawa.
raraa reree kwa nini huwa uchangii unabaki kuwa mshangiliaji tu!Hoja yako ni nini sasa!
Ha ha ha ha ha ha. Tena!raraa reree kwa nini huwa uchangii unabaki kuwa mshangiliaji tu!
😂😂😂😂😂 nimecheka kwa sauti mkuuHakika watanzania maskini wamebubujikwa machozi kwa kauli hii yenye kutia faraja na matumaini katika umaskin wao.
Achana na huyo kichaaSuala la Heshima ni 'Two-Way Traffic,' huwezi kuheshimiwa endapo kama wewe mwenyewe hujiheshimu na Wala hauheshimu Watu wengine. Ukipandacho ndicho utakachovuna.
Tuna katiba ya kijinga haswaUbabe ameacha Ila ukichaa ndio bado hajaacha.?
Alikuwa uteuzi wa kuwa PS wa Katibu wa UWT Wilaya ya Chunya kutoka mhudumu wa ofisi ya UWT ya kijijiAlafu mwamba siku hizi unasahau Sana kuandika mawasiliano yako. Sasa watu wa teuzi watawasiliana vipi na wewe??
Sukari imefanya ninisukari sukari sukari sukari sukari sukari