Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Habari wana JF..
Mkuu wa Mkoa wa Dar, fanya hima juu chini, futilia mbali hawa watoto wadogo wahuni watakuharibia kazi, sambaza vyombo vyako vya ulinzi vya mkoa, usiku na mchana, kama wiki nzima, kamata wote, sheria ichukue mkondo wake.
Mh. Makala, nachokiona, ukichelewa kidogo tu, hawa Panyaroad watakuharibia kazi yako nzuri unayofanya kwa Mkoa wa Dar, watakutia doa, na mimi sitaki ufike huko, najua ni mchapa kazi sana, ebu watie adabu, sbb hao panya road ni wezi na majambazi kama majambazi wengine tu. Kazi njema
Mkuu wa Mkoa wa Dar, fanya hima juu chini, futilia mbali hawa watoto wadogo wahuni watakuharibia kazi, sambaza vyombo vyako vya ulinzi vya mkoa, usiku na mchana, kama wiki nzima, kamata wote, sheria ichukue mkondo wake.
Mh. Makala, nachokiona, ukichelewa kidogo tu, hawa Panyaroad watakuharibia kazi yako nzuri unayofanya kwa Mkoa wa Dar, watakutia doa, na mimi sitaki ufike huko, najua ni mchapa kazi sana, ebu watie adabu, sbb hao panya road ni wezi na majambazi kama majambazi wengine tu. Kazi njema