Mkuu wa Mkoa Kagera Bi. FATUMA agundua uozo mkubwa, Mbunge BKb Mjini na Meya wakalia kuti Kavu, waanzisha ujenzi Bila Ramani

Uko sahihi kabisa bukoba kuna genge limeshajimilikisha ukiligusa tu unaopigwa fitina na majungu na linaenda hadi ngazi ya chini kwa wananchi kukuchonganisha
 
Tatizo la machali wewe ulihama upinzani ukajitumbukiza kwenye genge la hao watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…