Mkuu wa Mkoa Kagera - Mwassa: Wazazi pambaneni Watoto wenu wasiwe machawa

Mkuu wa Mkoa Kagera - Mwassa: Wazazi pambaneni Watoto wenu wasiwe machawa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa amewasihi wazazi na walezi mkoani Humo kuhakikisha wanawasimamia Watoto wao wanapata elimu iliyo bora itakayowawezesha kujitengenezea maisha badala ya kutumia muda mwingi kujipendekeza na kuwa machawa.

Mwassa ametoa kauli hiyo Februari 11, 2025 kwenye kikako cha wadau wa elimu kilichofanyika katika Kata ya Bakoba kikilenga kujadili mustakabali na mwenendo wa elimu.

Amesema kuwa anasikitishwa na vijana wanatumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakiwatukana viongozi ambapo ameleza kuwa kufanya hivyo ni matokeo ya ufukara.

Aidha, amewataka wazazi kuongeza ushirikiano na walimu ili kuweza kuwezesha mazingira bora ya Watoto wao kupata elimu badala ya kuwaachia walimu mzigo mkubwa wa malez na makuzi ya Watoto.

Awalio akitoa taarifa na mwendo wa elimu katika kata ya Bakoba, Diwani wa kata hiyo Shaban Rashid amesema kuwa serikali imefanya makubwa katika kuboresha miundombinu mbalimbali katika shule zilizopo kwenye kata hiyo.

Aidha, amesema licha ya mafanikio hayo Shule ya Sekondari Bakoba inakabiliwa na changamoto kubwa ya viti na meza zaidi ya 300 hali inayopelekea wanafunzi wengi kukalia mabenchi na kushindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao.

Chanzo: Wasafi FM
 
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa amewasihi wazazi na walezi mkoani Humo kuhakikisha wanawasimamia Watoto wao wanapata elimu iliyo bora itakayowawezesha kujitengenezea maisha badala ya kutumia muda mwingi kujipendekeza na kuwa machawa.

Mwassa ametoa kauli hiyo Februari 11, mwaka huu kwenye kiako cha wadau wa elimu kilichofanyika katika kata ya Bakoba kikilenga kujadili mustakabali na mwenendo wa elimu.

Amesema kuwa anasikitishwa na vijana wanatumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakiwatukana viongozi ambapo ameleza kuwa kufanya hivyo ni matokeo ya ufukara.

Aidha amewataka wazazi kuongeza ushirikiano na walimu ili kuweza kuwezesha mazingira bora ya Watoto wao kupata elimu badala ya kuwaachia walimu mzigo mkubwa wa malez na makuzi ya Watoto.

Awalio akitoa taarifa na mwendo wa elimu katika kata ya Bakoba, Diwani wa kata hiyo Shaban Rashid amesema kuwa serikali imefanya makubwa katika kuboresha miundombinu mbalimbali katika shule zilizopo kwenye kata hiyo.

Aidha amesema licha ya mafanikio hayo shule ya sekondari Bakoba inakabiliwa na changamoto kubwa ya viti na meza zaidi ya 300 hali inayopelekea wanafunzi wengi kukalia mabenchi na kushindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao.

Chanzo: Wasafi FM
machawa wakubwa siku hizi ni waliosoma.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa amewasihi wazazi na walezi mkoani Humo kuhakikisha wanawasimamia Watoto wao wanapata elimu iliyo bora itakayowawezesha kujitengenezea maisha badala ya kutumia muda mwingi kujipendekeza na kuwa machawa.

Mwassa ametoa kauli hiyo Februari 11, 2025 kwenye kikako cha wadau wa elimu kilichofanyika katika Kata ya Bakoba kikilenga kujadili mustakabali na mwenendo wa elimu.

Amesema kuwa anasikitishwa na vijana wanatumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakiwatukana viongozi ambapo ameleza kuwa kufanya hivyo ni matokeo ya ufukara.

Aidha, amewataka wazazi kuongeza ushirikiano na walimu ili kuweza kuwezesha mazingira bora ya Watoto wao kupata elimu badala ya kuwaachia walimu mzigo mkubwa wa malez na makuzi ya Watoto.

Awalio akitoa taarifa na mwendo wa elimu katika kata ya Bakoba, Diwani wa kata hiyo Shaban Rashid amesema kuwa serikali imefanya makubwa katika kuboresha miundombinu mbalimbali katika shule zilizopo kwenye kata hiyo.

Aidha, amesema licha ya mafanikio hayo Shule ya Sekondari Bakoba inakabiliwa na changamoto kubwa ya viti na meza zaidi ya 300 hali inayopelekea wanafunzi wengi kukalia mabenchi na kushindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao.

Chanzo: Wasafi FM
ina maana wazazi wa lucas mwashamba hawakumpambania
 
Uchawa ni kujitoa ufahamu hata kama huna elimu
 
Kazini kwa Lucas Mwamshamba kuna kazi machawa wamekua wengi mpaka wananuniana huko
 
Back
Top Bottom