May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
- Thread starter
- #21
Sasa wenye majukumu ya kuwaelimisha na kusimamia utekelezaji wa haya si ni sisi tukiongozwa na Vionozi wetu?.Hivi kwa nini wafungaji wasiwe wananunua maeneo yao wenyewe ya kuchungia kama mkulima anavyofanya..
Maana wao kazi ni kupeleka kwenye maeneo ya wezao wakati ,kila mtu ardhi kanunua hajapata bure.
Wanatakiwa wawajibike na kazi zao,hapo ndo watapata mapato makubwa kwenye mazao yao.
Tusiendelee kuendekeza huu ujinga.
Hili tatizo la Wafugaji na Wakulima ni matokeo ya kuweka uonozi dhaifu haswa huku kwenye ngazi za chini...Mamlaka za juu zinakuwa na vipaumbele vyake linapokuja swala la uongozi ngazi za chini na kusahahu kabisa umuhimu na unyeti wa hilo eneo.
Hakuna kinachoshindikana ni suala la kuweka utaratibu tu na Raia yeyote awajibike kwa taratibu za nchi.