Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ndivyo ilivyo, mtu anaona fahari kuwa na ng'ombe wengi huku anawatesa majirani zake wakulimaWafuge ngombe wanaoweza kuwalisha au wanunue maeneo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo ilivyo, mtu anaona fahari kuwa na ng'ombe wengi huku anawatesa majirani zake wakulimaWafuge ngombe wanaoweza kuwalisha au wanunue maeneo
Wafugaji wa Tanzania wana ufugaji wa kijima wa kutembea na mifugo sehemu kubwa.Hivi kwa nini wafungaji wasiwe wananunua maeneo yao wenyewe ya kuchungia kama mkulima anavyofanya..
Maana wao kazi ni kupeleka kwenye maeneo ya wezao wakati ,kila mtu ardhi kanunua hajapata bure.
Wanatakiwa wawajibike na kazi zao,hapo ndo watapata mapato makubwa kwenye mazao yao.
Tusiendelee kuendekeza huu ujinga.
Yaani mkoa kama Katavi ulikuwa na mapori mazuri ya uhifadhi mengine yalikuwepo tu wananchi wanaokota kuni tu daa wafugaji sasa wasukuma walikuwa wanatembea pori kwa pori mpaka kule, wanaitana tu bila mpangilio wowote sahizi nikama tu hakukuwahi kuwa na msituIfikie wakati haya makabila mawili ya Wasukuma na Wamasai yabadilishe mifumo yao ya ufugaji! Nomadic livestock kwenye karne hii ya 21 ni upuuzi.
Aina hii ya ufugaji inasababisha uharibifu mkubwa wa mazingira, ukame, na pia migogoro ya ardhi. Watafute maeneo, watulie! Waanzishe ufugaji wa kisasa.
Yaani wale wanaviburi kama ng'ombe zao.Nazani juzi utakuwa umepata wasaa wa kuangalia taarifa ya habari ITV na umeona wasukuma walivyo kuwa wana lisha ktk mashamba ya wakulima ktk wilaya za kibiti rufiji na mkoa wa lindi
Yeye kama kiongozi wa ulinzi na usalama wa mkoa, anapo Ona kuna jambo hatarishi kwenye eneo lake la kiutawala/mamlaka basi ana paswa kuchukua hatua shahiki kuepusha uvunjifu wa amani kutokea
Na hili mh rais kali zungumza pale kigamboni, kuwa wafugaji wana fanya uharibifu mkubwa na pia hayupo tayari kusikia hizi jamii mbili zikifanya mauaji ya visasi nk
Akataka hatua zichukuliwe kudumisha amani na utulivu
Wizara ya mifugo itafute mbinu ya kuelimusha ufugaji bora, tunakoelekea siko kabisaMimi natoka jamii ya waswaga ngombe naelewa madhara yake...
Huo ufugaji ni tatizo
Kichwa cha habari kimelaumu, directly!!Kwenye andiko nimetahadharisha kwa maneno "labda kama hiyo taarifa ipo nusu" mimi nime respond kwa nilichokisikia...sasa kama kuna maelezo ya ziada Mtu alete ndio maana ya jukwaa Mkuu, tofauti na Gazeti.
Yeye ndio aondoke akalee watoto wake kazi imemshindaLeo asubuhi kwenye taarifa nimesikia ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Talak amewapa siku mbili Wafugaji walioingia mkoani hapo kuondoka.
Kwa upande wangu sioni kama hii imekaa sawa, anachopaswa kujiuliza Kiongozi huyu ambaye ni Muwakilishi wa Raisi wa nchi hapo Mkoani kwake ni "waende wapi ambako ndiko wanahitaji hilo tatizo analoona wamepeleka hapo Mkoani kwake?".
Kama ambavyo ni wajibu wa Raisi tuliyempa madaraka na usimamizi wa ardhi yetu basi na Wasaidizi wake Muwajibike kuangalia namna bora ya kuwafanya Wananchi wote bila kubagua Jamii yoyote wanaishi na kuifurahia ardhi yao.
Sikatai kwamba ujio au uwepo wao unaleta adha kwa wengine haswa wale wanaojishughulisha na Kilimo lakini hilo haliondoi ukweli kuwa bado ni wajibu wa mamlaka kuangalia watu wanaelimika na kufuata taratibu za nchi na si kufukuziwa kwingine.
Kwa hiyo mnawafukuza Watu wa nchi yako ile ile waende sehemu nyingine ndani ya nchi ile ile? hivi kesho na kesho kutwa mkikosa Nyama ndio mtawaita tena?.
Labda tu kama taarifa niliyoisikia ni kwa kifupi sana lakini ni aibu kwa taifa kuwa na viongoi wanaokimbia wajibu wao kwa kutoa tu amri za kutumia nguvu ili tu tatizo lihamie kwa wengine, na vipi kama huko mnapowafukuzia nako watafukuzwa?.
Ifike mahali kama Kiongozi unadhani jambo linakuzidi nguvu basi unyooshe tu mikono juu na kuwaachia waoweza.
Sasa unataka ukawalushe ktk ardhi ya nani??Ng'ombe zaidi ya maelfu utawafuga eneo la heka 100.
Hapo bado maji malisho wakati wa kiangazi..sio mchezo.
Mimi nashauri mkoa wa lindi uwe mkoa wa wafugaji.
#MaendeleoHayanaChama
Zai has got some probs!Hajui kutatua migogoro?Utatuzi wake ni ku-expell wafugaji kutoka huko kijijini?Atulize wenge na hiyo burka yake!Leo asubuhi kwenye taarifa nimesikia ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Talak amewapa siku mbili Wafugaji walioingia mkoani hapo kuondoka.
Kwa upande wangu sioni kama hii imekaa sawa, anachopaswa kujiuliza Kiongozi huyu ambaye ni Muwakilishi wa Raisi wa nchi hapo Mkoani kwake ni "waende wapi ambako ndiko wanahitaji hilo tatizo analoona wamepeleka hapo Mkoani kwake?".
Kama ambavyo ni wajibu wa Raisi tuliyempa madaraka na usimamizi wa ardhi yetu basi na Wasaidizi wake Muwajibike kuangalia namna bora ya kuwafanya Wananchi wote bila kubagua Jamii yoyote wanaishi na kuifurahia ardhi yao.
Sikatai kwamba ujio au uwepo wao unaleta adha kwa wengine haswa wale wanaojishughulisha na Kilimo lakini hilo haliondoi ukweli kuwa bado ni wajibu wa mamlaka kuangalia watu wanaelimika na kufuata taratibu za nchi na si kufukuziwa kwingine.
Kwa hiyo mnawafukuza Watu wa nchi yako ile ile waende sehemu nyingine ndani ya nchi ile ile? hivi kesho na kesho kutwa mkikosa Nyama ndio mtawaita tena?.
Labda tu kama taarifa niliyoisikia ni kwa kifupi sana lakini ni aibu kwa taifa kuwa na viongoi wanaokimbia wajibu wao kwa kutoa tu amri za kutumia nguvu ili tu tatizo lihamie kwa wengine, na vipi kama huko mnapowafukuzia nako watafukuzwa?.
Ifike mahali kama Kiongozi unadhani jambo linakuzidi nguvu basi unyooshe tu mikono juu na kuwaachia waoweza.
Mpaka akili iwakae sawa,binadamu timamu huwez fuga ng'ombe 200 kwa kutwgemea kuzurua na kuwalisha mifugo yako mashamba ya watu,faida ya kilimo ni kubwa ktk nchi kuliko kufuga,ni bora tupoteze wafugaji tubaki na wakulima!!Sasa si muwaongoze hilo lifanyike?.
Sasa kama nyie Viongozi mtaishia kuwafukuza tu mnataka waishie wapi, Msumbiji?.
Tushaelimishana sana kiungwana,sasa ni muda ya kuadhibiana,hizi jamii za wafugaji ni tafsiri sahihi ya ukosefu wa ustaarabu,wakiadhibiwa watajifunzaWizara ya mifugo itafute mbinu ya kuelimusha ufugaji bora, tunakoelekea siko kabisa
Hakika ni tatizo kubwa.Hao Wafugaji juzi wamemuua Mkulima kisa aliwafukuza kulisha Ngo'mbe kwenye shamba lake la Nyanya, baada ya kumuua wakamfukia kwenye migomba,
Wakulima nao wameua Wafugaji wanne,(kisasi)
Nakumbuka Magufuli aliwahi kuwaambia wapunguze mifugo na kila Kaya iwe na Mifugo ishirini(sina hakika na hii idadi) lakini pia wawe na utaratibu wa kuuza mifugo yao na Pesa wafanyie maendeleo kama kujenga nyumba za kisasa pamoja na ufugaji wa kisasa,
Kuna wajinga walipiga kelele kama hivi lakini leo tunaona tena madhara yake,
Serikali inapaswa kuweka sawa hili suala la ufugaji kiholela na kuja na suluhisho ambalo halitamuumiza yeyote.
Nashanaga Sana mtu anaye mbuguzi mfugaji kwa kauli Kama hzoNaona kalewa madaraka..hao wafugaji waende wapi??wakati mkonwa lindi robo tatu ni mapori yasiyo na kazi..hizo ng'ombe wanazipenda tu zikiwa buchani na kwenye mabakuli yao wakila nyama na supu.
Wafugaji wa nchi hii wanaonewa sawa ndani ya nchi yao.
#MaendeleoHayanaChama
Lindi na willaya nzimaa ya kilosa iwe ya kimkakati kwa ajili ya ufugaji tuNg'ombe zaidi ya maelfu utawafuga eneo la heka 100.
Hapo bado maji malisho wakati wa kiangazi..sio mchezo.
Mimi nashauri mkoa wa lindi uwe mkoa wa wafugaji.
#MaendeleoHayanaChama
Mijitu inaongeaa Happ hata kufuga kuku hajawai unajuwa kula tuMaisha ya wafugaji ndivyo yalivyo huwezi kaa sehemu moja una ngombe wengi..sa100 hakuji hata kufuga kuku atajuaje kuhusu mifugo kama ng'ombe na mbuzi.
#MaendeleoHayanaChama
Ila Kuna makabila mengine yapo hapa Tz kutesa Watu tu yaani wenzako wamelima tena kwa Kilimo duni wapate Posho Maisha yaende Mtu anaingiza mifugo shambani na ukiwa Mkali juu ya Shamba lako anakuchoma Mkuki wa Mdomo. Hata Kama ni Uhuru wa kwenda upendavyo lakini siyo kwa Hali hii.Wanasababisha njaa Ukame hivyo lazima serikali iainishe mikoa ya kufugia siyo kila sehemu kuwa ruksa kufuga Tena mang'ombe mengi .Kuna baadhi ya Mtindo wa ufugaji lazima upigwe marufuku tu kwenye maeneo ya uzalishaji Chakula. Msimlaumu Mkuu wa Mkoa kwa huu upuuzi wenu na kusababisha Uvunjifu wa Amani Kama mnavyofanya kule MorogoroLeo asubuhi kwenye taarifa nimesikia ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Talak amewapa siku mbili Wafugaji walioingia mkoani hapo kuondoka.
Kwa upande wangu sioni kama hii imekaa sawa, anachopaswa kujiuliza Kiongozi huyu ambaye ni Muwakilishi wa Raisi wa nchi hapo Mkoani kwake ni "waende wapi ambako ndiko wanahitaji hilo tatizo analoona wamepeleka hapo Mkoani kwake?".
Kama ambavyo ni wajibu wa Raisi tuliyempa madaraka na usimamizi wa ardhi yetu basi na Wasaidizi wake Muwajibike kuangalia namna bora ya kuwafanya Wananchi wote bila kubagua Jamii yoyote wanaishi na kuifurahia ardhi yao.
Sikatai kwamba ujio au uwepo wao unaleta adha kwa wengine haswa wale wanaojishughulisha na Kilimo lakini hilo haliondoi ukweli kuwa bado ni wajibu wa mamlaka kuangalia watu wanaelimika na kufuata taratibu za nchi na si kufukuziwa kwingine.
Kwa hiyo mnawafukuza Watu wa nchi yako ile ile waende sehemu nyingine ndani ya nchi ile ile? hivi kesho na kesho kutwa mkikosa Nyama ndio mtawaita tena?.
Labda tu kama taarifa niliyoisikia ni kwa kifupi sana lakini ni aibu kwa taifa kuwa na viongoi wanaokimbia wajibu wao kwa kutoa tu amri za kutumia nguvu ili tu tatizo lihamie kwa wengine, na vipi kama huko mnapowafukuzia nako watafukuzwa?.
Ifike mahali kama Kiongozi unadhani jambo linakuzidi nguvu basi unyooshe tu mikono juu na kuwaachia waoweza.
Hili ni tatizo na wala mimi siungi mkono mambo kuwa hivi.Ila Kuna makabila mengine yapo hapa Tz kutesa Watu tu yaani wenzako wamelima tena kwa Kilimo duni wapate Posho Maisha yaende Mtu anaingiza mifugo shambani na ukiwa Mkali juu ya Shamba lako anakuchoma Mkuki wa Mdomo. Hata Kama ni Uhuru wa kwenda upendavyo lakini siyo kwa Hali hii.Wanasababisha njaa Ukame hivyo lazima serikali iainishe mikoa ya kufugia siyo kila sehemu kuwa ruksa kufuga Tena mang'ombe mengi .Kuna baadhi ya Mtindo wa ufugaji lazima upigwe marufuku tu kwenye maeneo ya uzalishaji Chakula. Msimlaumu Mkuu wa Mkoa kwa huu upuuzi wenu na kusababisha Uvunjifu wa Amani Kama mnavyofanya kule Morogoro