Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Mimi nimeleta habari sio mada yoyote hapaWewe ndio umeleta mada mezani sasa mboni unakimbia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeleta habari sio mada yoyote hapaWewe ndio umeleta mada mezani sasa mboni unakimbia?
Muulize RCHabari imekua mada maana lazima tukudunge maswali au ulikuja kurusha dongo?
Chama ndicho mwamuzi wa kila kituKwa hio unamaanisha nini kwa mfano?
Kwa hio Serekali ni NDOGO kuliko Chama?Chama ndicho mwamuzi wa kila kitu
Wakati ndio wamekipigania Chama Mpaka kikashika dola naye akapata hayo madaraka.Safi sana nataka wakuu wa mikoa wa aina hii wenye kutambua nafasi ya chama na upekee wake. Siyo mwingine kwa kulewa masifa yake huko na ujuaji wa kitoto anataka kukipandishia mabega chama na viongozi wa chama.
Hahahah imeenda iyo.......
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Yahaya Nawanda, Amesema kuwa ataendelea kupokea na kutekeleza maagizo ya Chama (CCM) kwakuwa chama hicho ni Kikubwa kuliko Serikali.
Source: Habari mpya
SafiMkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Yahaya Nawanda, Amesema kuwa ataendelea kupokea na kutekeleza maagizo ya Chama (CCM) kwakuwa chama hicho ni Kikubwa kuliko Serikali.
Source: Habari mpya
Tusaidie mkuu. Hiki ulichoandika kinahusiana vipi na mada? Mm umeniacha mbaliNote:
Tusome na tufuatilie kwa makini siasa zetu za nchi tujue chimbuko lake ni lipi, mrengo wake ni upi, utendajikazi wake ni upi ndipo tudai mabadiliko.
Tudai mabadiliko kwa vitu tunavyojua madhaifu na uimara wake bila kufanya hivyo tutakuwa tunajilisha upepo.
Sijakuelewa kwa HIO amemf-ra au hajamf-ra?Note:
Tusome na tufuatilie kwa makini siasa zetu za nchi tujue chimbuko lake ni lipi, mrengo wake ni upi, utendajikazi wake ni upi ndipo tudai mabadiliko.
Tudai mabadiliko kwa vitu tunavyojua madhaifu na uimara wake bila kufanya hivyo tutakuwa tunajilisha upepo.
CCM imekua NDOGO kuliko Serikali ku.mam-ke wallahKwahy chama kimeshindwa kumtetea na sasa serikali ndio inamfunga 😂 Dah aisee tuwe na kiasi cha kusema
Jamaa anazungumzia RC alichosema kabla ya tukio la matopeSijakuelewa kwa HIO amemf-ra au hajamf-ra?
Mambo yamevurugika 😂CCM imekua NDOGO kuliko Serikali ku.mam-ke wallah
Sasa hivi imekuaje kwa HIO?Jamaa anazungumzia RC alichosema kabla ya tukio la matope
Kimewaka 🔥Sasa hivi imekuaje kwa HIO?
Chama kimekaa pembeniMambo yamevurugika 😂
Kama watu wenyewe ndio hao; kazi ipo! Majizi na mifirauni imejazana humo endelea kuiimbia mapambio!Safi sana nataka wakuu wa mikoa wa aina hii wenye kutambua nafasi ya chama na upekee wake. Siyo mwingine kwa kulewa masifa yake huko na ujuaji wa kitoto anataka kukipandishia mabega chama na viongozi wa chama.