Pre GE2025 Mkuu wa Mkoa Nawanda: Chama cha Mapinduzi kikubwa kuliko Serikali

Pre GE2025 Mkuu wa Mkoa Nawanda: Chama cha Mapinduzi kikubwa kuliko Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
RC yuko sahihi. Chama ndo kinaunda serikali. Mwenyekiti wa CCM ana nguvu ya kumuondoa Rais madarakani ndo maana hata CCM wakawa wajanja kumpa Rais uenyekiti. Vijana someni katiba yenu ya sasa kabla ya kudai mpya ili mjue mnadai nini.
RC pumbavu yule! Mkiambiwa wanakitumia chama kuficha maovu yao muwe mnaelewa.
 
Aisee kwa hiyo Mheshimiwa anaishi wapi Kwa sasa?
Kwa Leo anajisaidia kwenye debe bila maji Wala toilet paper ya kutawazia.
Yaani akimaliza kukata gogo anapandisha boxer akiwa haha tawadha.
Kama ana swali, Leo ataswali bila kutawadha.
Halafu kwasababu hii kesi mama anaijua, hutaona MTU mkubwa wa serikali akimtetea Yahya kwa namna yoyote.
Leo Yahaya kawa shetani.
 
Itakua alikua anaamini pia ile ya mbele ni ndogo kuliko ya nyuma.
 
Safi sana nataka wakuu wa mikoa wa aina hii wenye kutambua nafasi ya chama na upekee wake. Siyo mwingine kwa kulewa masifa yake huko na ujuaji wa kitoto anataka kukipandishia mabega chama na viongozi wa chama.
Kweli kabisa tunawataka wakuu wa mkoa aina hii 😄

Ova
 
Kwahiyo hata alichokifanya ni muendelezo wa utekelezaji wa maagizo ya chama!
CCM oyee😅😅😅
 
Back
Top Bottom