Mkuu wa Mkoa wa Dar hajazuia mashindano ya Ndondo Cup kuchezwa uwanja wa Bandari Wilaya ya Temeke

Mkuu wa Mkoa wa Dar hajazuia mashindano ya Ndondo Cup kuchezwa uwanja wa Bandari Wilaya ya Temeke

tramadol

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
5,383
Reaction score
4,323
Taarifa za michezo ya Ndondo Cup kuchezewa uwanja wa Kinesi badala ya Bandari haijatolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar kama baadhi ya wana JF wanavyo ihabarisha umma wa wanamichezo na kuhusisha jambo hilo na yaliyotokea siku za nyuma kati ya Clouds media na Mkuu wa Mkoa wa Dar.

Na mpaka Sasa hakuna aliyetoa sababu za kutochezwa kwa mashindano hayo uwanja wa Bandari baada ya ukarabati kufanyika.

Taarifa iliyotolewa na Clouds Media kupitia kwa Shafii Dauda ni kuwa mechi za 16 bora zitachezwa uwanja wa Kinesi Shekilango mpaka taarifa zitakapotolewa vinginevyo.
 
a5a09dd493307b89411a0bdf98fbfe31.jpg
 
Mtu wa dat kasha fanyq yake

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Taarifa za michezo ya Ndondo Cup kuchezewa uwanja wa Kinesi badala ya Bandari haijatolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar kama baadhi ya wana JF wanavyo ihabarisha umma wa wanamichezo na kuhusisha jambo hilo na yaliyotokea siku za nyuma kati ya Clouds media na Mkuu wa Mkoa wa Dar.

Na mpaka Sasa hakuna aliyetoa sababu za kutochezwa kwa mashindano hayo uwanja wa Bandari baada ya ukarabati kufanyika.

Taarifa iliyotolewa na Clouds Media kupitia kwa Shafii Dauda ni kuwa mechi za 16 bora zitachezwa uwanja wa Kinesi Shekilango mpaka taarifa zitakapotolewa vinginevyo.
Tutapitia "wanyama Street" kwenda kinesi ground.
Poa tu.
Faru Dume, na matimu kibao kukipiga.
 
Wewe utakuwa ni makonda mwenyewe kuja kukanusha hapa ili hali kila mtu mwenye akili timamu ameshang'amua ulichokifanya. Bashte hicho ulichokifanya ni upumbavu!
 
Wewe utakuwa ni makonda mwenyewe kuja kukanusha hapa ili hali kila mtu mwenye akili timamu ameshang'amua ulichokifanya. Bashte hicho ulichokifanya ni upumbavu!
Thibitisha...tusiandike kujifurahisha na taarifa zilizojaa hisia tu.
 
Kiongozi.kumbuka humu ndani kuna watu wazima wenye akili zao timamu.

Post sent using JamiiForums mobile app
Nalijua hilo na sina shaka nalo ila tutoe taarifa zenye uthibitisho na siyo kuandika kwa hisia.

Hata Shafii Dauda hajaandika kuwa Mkuu wa Mkoa amesitisha mashindano hayo kufanyika uwanja wa Bandari
 
Bashite, wazee wametumia nguvu nyingi sana kukubeba usiende na maji, na wa Tz wameamua kupotezea madudu yako na 'kukusamehe' kwa uliyoyafanya. Ni vyema basi na wewe ukatumia busara kidogo na kuachana na chokochoko zinazozidi kukuharibia. Jikite kwenye kutumikia uma wa wana Dar na sio kutunishiana mabavu na watu ambao kiukweli hutowaweza.
 
Back
Top Bottom