Mkuu wa Mkoa wa Dar hajazuia mashindano ya Ndondo Cup kuchezwa uwanja wa Bandari Wilaya ya Temeke

Ulitaka aje kukwambia mwenyewe?
 
Kwanini Watu wa JF ni maamuzi mbele. Hii ni mbaya sana. Watz wanapenda sana Umbeya wanatunga wanasambaza. Ila ukiona mwanamke anakufuata fuata lakini Huku anapiga kelel hakupebdi ujue huyo anataka aliwe tu. Na Makonda Atawala tu. Mana mnampenda. Kwanini Msiwaze kuwa Labda Ruge ndo kazuia kisa kajua Makonda ndo kahusika. Wapumbavu sana nyie
 
Huyu mleta mada anataka ma likes na mafolowazi kama bosi wake bashite. Sasa umeshindwa kuconect dots hapo
 
Nawaza siku Sizonje kamaliza madaraka huyu Bashite atakuwa katika hali gani?
 
Nawaza siku Sizonje kamaliza madaraka huyu Bashite atakuwa katika hali gani?
 
n
Nasikia na tamasha la fiesta wamelupiga pini hadi wakubali kuanda muvi za ushirawadu kutoka kwa bashite ili kuwadhalilisha wapinzani
 
Nimaagizo ya nani, acha ubashite!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huyu mleta mada anataka ma likes na mafolowazi kama bosi wake bashite. Sasa umeshindwa kuconect dots hapo
Hoja isiyo na mashiko hiyo.Nasimama na msimamo wangu always.

Sikujiunga JF kwa ajili ya likes na followers Mimi siyo kama baadhi ya watumishi wa Mungu wanaotafuta waumini.
 
Nalijua hilo na sina shaka nalo ila tutoe taarifa zenye uthibitisho na siyo kuandika kwa hisia.

Hata Shafii Dauda hajaandika kuwa Mkuu wa Mkoa amesitisha mashindano hayo kufanyika uwanja wa Bandari
Ww ni kau ... Na bashite wako pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…