Kangi Lugola ni mfano WA andiko lakoNchi hizi maskini, ukiwa kiongozi usisikilize sifa kutoka kwa watu, bali angalia zaidi ni nini chema unachotakiwa kufanya. Maana kuna baadhi ya watu, umaskini huwafanya wafanye chochote ili mradi mkono uende kinywani. Hata ukiwaambia wakuimbie usiku na mchana kukutukuza, watafanya.
Kuyajua yaliyo mema, miongozo ipo mingi: katiba, sheria zetu, na maigizo ya Mungu kupitia vitabu vitakatifu vya dini.
Doto James ni mshenzi zaidi kuliko wote yeye alikuwa ni ibilisi kuliko Magufuli na alikuwa anamdanganya ili afanikiwe dili zake hao ndio waliomponza mwendazake kwani walikuwa waongo na wachonganishi umeme anaotumia mwongozo nimemvutia mimi lakini hakuwa na shukrani hata kidogo akataka ardhi yangu ili awe bichi ndio alivyoanza vitimbwi na kina Lukuvi ili watufukuze nchi mungu aendelee kuwaadhibuDotto James hakuwa muongeaji hata ukitafuta clip zake youtube hazifiki hata tano yeye alikuwa anakula pesa kimya kimya.
Wewe utakuwa unamsema Heri James aliyekuwa UVCCM na matamko yake ya kukera
Nilishindwa kabisa kujizuia nisicheke maana ilileta attention fulani alafu stori zikabadilika ghaflaAisee 🙄
Nimmeona mahali maza anacheka anakaribisha wageni pilau. Yuko serious kweli yule mama au naye anafanya sherehe kama MdudeNa bado,Itafikia kipindi hata mkewe naye hatakuwa haendi.
Wenyeviti wa kamati za siasa za chama walihonga vikundi vya waombolezaji kutandika kanga na kujiliza. Siijui huko kwingineHakuna binadamu mwenye mema matupu asiye na mabaya ni Mwenyezi .Mungu tu
Binadamu yeyote ana mema yake na mabaya yake akiwemo Magufuli na awaye yeyote
Asante wale walioenda wamewakilisha kukumbuka walau yale mema alifanya sababu ana mema yake pia alifanya
Asante kwa huo uwakilishi walau unakumbusha kuwa marehemu Magufuli aliwahi pia kuwa na mema yake ambayo yalifanya watu wanyonge walie mabarabarani jeneza likipita
Wenye nacho hakuna aliyeanguka wala kuzimia wala kuangua kilio kikali wanyonge ndio walianguka na kuzimia kwa maelfu hata kufa kwa kukanyagana kuaga mpendwa wao
Nimmeona mahali maza anacheka anakaribisha wageni pilau. Yuko serious kweli yule mama au naye anafanya sherehe kama Mdude
Mwenyezi Mungu wangu si binadamu,labda huyo wako.Hakuna binadamu mwenye mema matupu asiye na mabaya ni Mwenyezi .Mungu tu
Binadamu yeyote ana mema yake na mabaya yake akiwemo Magufuli na awaye yeyote
Asante wale walioenda wamewakilisha kukumbuka walau yale mema alifanya sababu ana mema yake pia alifanya
Asante kwa huo uwakilishi walau unakumbusha kuwa marehemu Magufuli aliwahi pia kuwa na mema yake ambayo yalifanya watu wanyonge walie mabarabarani jeneza likipita
Wenye nacho hakuna aliyeanguka wala kuzimia wala kuangua kilio kikali wanyonge ndio walianguka na kuzimia kwa maelfu hata kufa kwa kukanyagana kuaga mpendwa wao
SHETANI NI SHETANI HATA UKIMTETEA. SASA UJUE MIMI NDIYE BABA YAKO , NI MUME WA MAMA YAKO, TENA HAWALA YA MAMA YAKO.Shetan baba na mama yako waliokuzaa.
Kuwa malaya si tija .Mama wangu ni wa kike ni haki yake,vipi wewe wa kiume ni sawa kwako?
Huyo akiwa shetani, yule anayeshikishwa ukuta na akina rob amster kule ulaya atakuwa nani, ibilisi?Pumbavu, wanamwombea shetani?
whatever, huyu alikuwa rais anaye serve watu, alipashwa kuwa na utu na ubinadamu. haya ya ukuta ni binafsi hayakuhusu!Huyo akiwa shetani, yule anayeshikishwa ukuta na akina rob amster kule ulaya atakuwa nani, ibilisi?
Basi acha rais wako aendelee kufumuliwa mananii huku wewe ukijifariji kuwa ni mambo binafsi.whatever, huyu alikuwa rais anaye serve watu, alipashwa kuwa na utu na ubinadamu. haya ya ukuta ni binafsi hayakuhusu!
Kanda ya ziwa niwape ushauri wa bure.Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.
Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.
Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.
My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Mbona katenda unyama mkubwa dikteta yulee?Wewe alikudhurumu nini?
Je una ndugu yeyote aliedhurumiwa na jpm?
Je kipimo cha unyama ni kipi?tueleze kidogo
Internal affairs hazinihusu hata kidogo.Basi acha rais wako aendelee kufumuliwa mananii huku wewe ukijifariji kuwa ni mambo binafsi.