Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Nchi hizi maskini, ukiwa kiongozi usisikilize sifa kutoka kwa watu, bali angalia zaidi ni nini chema unachotakiwa kufanya. Maana kuna baadhi ya watu, umaskini huwafanya wafanye chochote ili mradi mkono uende kinywani. Hata ukiwaambia wakuimbie usiku na mchana kukutukuza, watafanya.

Kuyajua yaliyo mema, miongozo ipo mingi: katiba, sheria zetu, na maigizo ya Mungu kupitia vitabu vitakatifu vya dini.
Kangi Lugola ni mfano WA andiko lako
 
Dotto James hakuwa muongeaji hata ukitafuta clip zake youtube hazifiki hata tano yeye alikuwa anakula pesa kimya kimya.

Wewe utakuwa unamsema Heri James aliyekuwa UVCCM na matamko yake ya kukera
Doto James ni mshenzi zaidi kuliko wote yeye alikuwa ni ibilisi kuliko Magufuli na alikuwa anamdanganya ili afanikiwe dili zake hao ndio waliomponza mwendazake kwani walikuwa waongo na wachonganishi umeme anaotumia mwongozo nimemvutia mimi lakini hakuwa na shukrani hata kidogo akataka ardhi yangu ili awe bichi ndio alivyoanza vitimbwi na kina Lukuvi ili watufukuze nchi mungu aendelee kuwaadhibu
 
Hakuna binadamu mwenye mema matupu asiye na mabaya ni Mwenyezi .Mungu tu

Binadamu yeyote ana mema yake na mabaya yake akiwemo Magufuli na awaye yeyote

Asante wale walioenda wamewakilisha kukumbuka walau yale mema alifanya sababu ana mema yake pia alifanya

Asante kwa huo uwakilishi walau unakumbusha kuwa marehemu Magufuli aliwahi pia kuwa na mema yake ambayo yalifanya watu wanyonge walie mabarabarani jeneza likipita

Wenye nacho hakuna aliyeanguka wala kuzimia wala kuangua kilio kikali wanyonge ndio walianguka na kuzimia kwa maelfu hata kufa kwa kukanyagana kuaga mpendwa wao
Wenyeviti wa kamati za siasa za chama walihonga vikundi vya waombolezaji kutandika kanga na kujiliza. Siijui huko kwingine
 
Hakuna binadamu mwenye mema matupu asiye na mabaya ni Mwenyezi .Mungu tu

Binadamu yeyote ana mema yake na mabaya yake akiwemo Magufuli na awaye yeyote

Asante wale walioenda wamewakilisha kukumbuka walau yale mema alifanya sababu ana mema yake pia alifanya

Asante kwa huo uwakilishi walau unakumbusha kuwa marehemu Magufuli aliwahi pia kuwa na mema yake ambayo yalifanya watu wanyonge walie mabarabarani jeneza likipita

Wenye nacho hakuna aliyeanguka wala kuzimia wala kuangua kilio kikali wanyonge ndio walianguka na kuzimia kwa maelfu hata kufa kwa kukanyagana kuaga mpendwa wao
Mwenyezi Mungu wangu si binadamu,labda huyo wako.
 
Acha uongo mbona innocent bashungwa kaenda . Usipotoshee watu
Screenshot_20230318-032023.jpg
Screenshot_20230318-032009.jpg
Screenshot_20230318-031954.jpg
Screenshot_20230318-031936.jpg


Check hii Instagram kapost
 
Hawa mapadre hawasemi watu aliowaua, kawatesa, akawadhulumu, akawapoteza na maovu yote aliyotenda Magufuli. Bladifaken nao wanatetea matumbo yao eti wanamwakilisha Mungu dunia. Nao ni mashetani kama huyu wanayemtetea.
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Kanda ya ziwa niwape ushauri wa bure.
Anzeni kukutafutia mgombea 2025.
Pili CDM imetumwa kuharibu jina la mpendwa wenu Ili Maza Nina lipae ila mkumbue mkijipanga mnaweza.
 
Back
Top Bottom