Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Ukija kwa Ground it doesn’t make any difference watu kuwepo au kutokuwepo huko Chato ! Watu wanamuombea kimoyomoyo kila mtu mahali alipo !!
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Hata huyo mama yetu mpendwa Janeth kuwepo ni ile tu basi; huyo mama ni binadam hakustahili kujiasosieti ns shetani, ni ile tu basi ilishatokea.
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Acha uwongo! Waziri wa Ulinzi Inocent Bashungwa nae alikuwepo. Pia Mama aliwakilishwa na mtoto wake
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Ndugu zako na familia yako ni mtaji usioisha thamani.
 
Hawa mapadre hawasemi watu aliowaua, kawatesa, akawadhulumu, akawapoteza na maovu yote aliyotenda Magufuli. Bladifaken nao wanatetea matumbo yao eti wanamwakilisha Mungu dunia. Nao ni mashetani kama huyu wanayemtetea.
Aisee yan inasikitisha sana. Mtu anajiita askofu kumbe ushetan tu. Yanatetea matumbo tu. Hiz dini za kuletwa ndo maana mm naziangaliaga mara mbili mbili.
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Taswira ya huyu mkuu wa mkoa imechafuka sana.
Alihusika moja kwa moja na kifo cha mzee Shamte Tanga.
Alimuweka ndani mzee wa watu kwa kesi ya kubambikwa na mzee Shamte akafia gerezani.
 
Kwani hiyo ibada ilikuwa ni jambo la kitaifa?

Mtu akishakufa, huambatana na habari zake
 
My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
My take:
nimeona na kujifunza mengi katika maisha ila somo kuu ni kutokumuamini mwadamu yeyote anayekuzunguka, iwe ndugu, jamaa ama rafiki (0% - leave the 100% to grade/rate the disappointment)!

Ishi kinafiki na kubali kuwa mjinga.
 
Acha uwongo! Waziri wa Ulinzi Inocent Bashungwa nae alikuwepo. Pia Mama aliwakilishwa na mtoto wake
Na kama ni kweli alikuwa mbaya na katili kama wanavyoshambulia washambuliaji basi hata hilo jumba la makumbusho yake lisingejengwa na Serikali ya Chief Hangaya 😅🙏🇹🇿
 
Kanisa Katoliki wametangaza rasmi kuwa Kila Mwaka Tarehe 17 .3. watafanya Misa ya kumbukumbu kumuenzi. Kwa familia na wanafalsa ya Magufulism inawatosha. Kanisa limeona mwana kondoo wake anatweza , limechukua nafasi.
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Hata Bashite hakuwepo?
 
Bado ni heshima kubwa sana. Mkuu wa Mkoa ni Muwakilishi wa Rais, sasa sijui mtoa mada ulitaka Rais na Cabinet yake yote waache majukumu waende huko na kufanya maombolezo, na bendera zipepee nusu mlingoti? Wengi tulimpenda Magufuli, sasa hivi tuna Rais mwingine, Magufuli ni historia sasa, kuendelea kutukuzwa ni kumdogosha Rais aliyepo madarakani.
Usiseme wengi, sema Sukuma gang mlimpenda Jiwe
 
Back
Top Bottom