Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Gaguti hizi chuki zako uwe pia unazionyesha hadi kwa Yanga SC na si Simba SC pekee

Raisi pekee Tanzania aliyejulikana timu gani ni Kikwete hadi kadi anayo..hii ya Magufuli ni kujitapatapa tu..hana hata kadi...Kagera anakufunga hadi Taifa ..aarrggghh kwa nini nimechangia mechi za mchangani
Kwani Yanga wana pointi ngapi Ligi Kuu ya Bara? Labda tuanzie hapo 😁😁😁
 
Sasa Timu ya Yanga hapa inaingiaje wakati kesho Ni Kagera sugar vs Simba/Mikia... Punguza Nyodo na wivu uliokukithiri.. Sisi Yanga tupo Zambia tunawaandaa Zesco tuwapapase vizuri..
"Mchonganishi Mfawidhi"
 
Yanga amecheza mechi moja akapigwa 2-0 na Ruvu Shooting

Rekebisha Yanga SC ilifungwa goli 1 tu na Ruvu Shooting ya Masau Bwire na siyo goli hizo 2 kama ulivyoandika hapa Ndugu.
 
Rekebisha Yanga SC ilifungwa goli 1 tu na Ruvu Shooting ya Masau Bwire na siyo goli hizo 2 kama ulivyoandika hapa Ndugu.
Nasisitiza ni 2-0, na TFF ilimfungia kuchezesha mechi assistant referee aliyejaribu kusema goli la pili la Ruvu lilikuwa off-side
 
Duuu kumbe SIMBA mabigwa wa UCHAWI.Yaani umeandika utumbo balaa.
 
Hilo lingine labda ulipigwa wewe kitandani


---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 
Raisi pekee Tanzania aliyejulikana timu gani ni Kikwete hadi kadi anayo..hii ya Magufuli ni kujitapatapa tu..hana hata kadi...Kagera anakufunga hadi Taifa ..aarrggghh kwa nini nimechangia mechi za mchangani
kachangie mechi za ardhini,,,,
Sijaona kujitapa na wakati ni kilema
 
Nilivoona eti "hakuna Timu inayojua ' Fitna ' na ' Kuroga ' kama Simba SC.""
Nikajua uzi wako umekaa kipumbavu
 
kwahiyo mwaka huu viporo wanakula vyura fc baada ya mikia fc kuvimbiwa msimu ulipita hadi kupelekea kupigwa na UD songo
Ndiyo ligi yetu hii sijui tatizo wapi upande wa ratiba mbn epl,la liga na nyingne hawanaga jam ya mechi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…