Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro adaiwa kuingilia Uhuru wa Mahakama, aamrisha watu kuwekwa Korokoroni hata siku tano bila kusikilizwa

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro adaiwa kuingilia Uhuru wa Mahakama, aamrisha watu kuwekwa Korokoroni hata siku tano bila kusikilizwa

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Salaam Wakuu,

Nimeshangaa na sikuamini Kusikikia Stephen Kagaigai kabadilika kawa mbabe kiasi kwamba sasa hivi anawekwa kundi moja na Wakina Sabaya, Mnyeti. Huyu Mzee kabla ya kuwa Mkuu wa Mkoa, alikuwa Katibu wa Bunge akifanya kazi na Ndugai. Au ni Msongo wa Mawazo baada ya Kutolewa Kwenye ulaji Bungeni?

Watu wameshinda kesi, hukumu ipo, lakini anadai hakimu aliyehuku kesi ni Kanjanja. Hivyo eti akabatilishe hukumu, kwamba hawakupaswa kushinda. Sasa hivi anakata kila anayehusika kwenye hiyo kesi na kuwaweka ndani bila dhamana. Halafu anawaelekeza TAKUKURU wawafungulie kesi ya Uhujumu Uchumi. Anadai yeye ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa so Kwa Mamlaka yake anaweza kumuweka Korokoroni mtu yoyote. Anawatisha na kuwaweka ndani washindi waseme Mahakama imekosea wakati hukumu imetoka. Hivyo watu wanateswa ili waandike maelezo kwamba Mahakama imekosea. Mtu kashinda kesi, halafu unamlazimisha aseme hajashinda kesi au afunguliwe kesi ya Uhujumu Uchumi. Kama anaona uonevu, kwanini Wasikate rufaa kuliko kutesa watu?

Anachofanya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kwenye suala la Wakili Edward Chuwa ni kuingilia uhuru wa Mahakama na upotoshaji. Mtu aliedai kushinda kesi ya ardhi na kutetewa na Wakili Chuwa katika kesi hiyo (Land Case No. 1 of 2018) katika Mahakama Kuu, Moshi kati ya Uru Shimbwe na wadaiwa wengine saba, Evarist Mushi alikuwa mdaiwa wa sita na katika kesi hiyo alishtakiwa tu na hakuwa na madai kinzani. Katika kesi hiyo, hukumu haikumtaja kupata ardhi yoyote wala nafuu yoyote kwenye kesi hiyo. Kwenye ukurasa wa tatu wa hukumu waliotajwa kushinda kesi na maeneo kubaki kwao ni mdaiwa 1, 2, 3, 4, 5, 7 na 8. Katika hukumu hiyo hakuna mahali mahakama ilisema ameongezewa kipande cha ardhi kama alivyodai Mkuu wa Mkoa. Wakili Chuwa alikanusha kuwa Evarist ni mteja wake na hakuna ushahidi kutoka kwa Evarist kuwa aliwahi kulipa hela ya uwakili kwenye madai ya takriban shilingi 7,640,000,000 (Bilioni Saba laki sita na arobaini).

Katika Kesi Na. 14 ya 2021 ya Baraza la Ardhi la Moshi, Bw. Chuwa alitamkwa kuwa mshindi wa eneo la ekari moja dhidi ya Evarist Mushi. Baada ya kutoka hukumu ya mahakama, amri ya kumtoa kwenye eneo ilitolewa kwa mujibu wa sheria na madalali wakateuliwa kwa mujibu wa sheria na taratibu. Evarist amekata rufaa Mahakama Kuu, Moshi, Rufaa Na. 45 ya 2021 ambayo haijasikilizwa. Mkuu wa Mkoa ameingilia Mahakama kwa kutoa maamuzi kupingana na hukumu ya mahakama. Wiki iliyopita aliwaweka mahabusu Bwana Augustini Mushi (Mwenyekiti wa Mtaa), Hipoliti Makoi (Shahidi) na Patrisi Pantaleo (Shahidi) kwa siku tano bila haki ya dhamana. Tarehe 14/02/2022 alimuweka Wakili Chuwa mahabusu bila dhamana na tarehe 21/02/2022 akiongea na waandishi wa habari, Azam News na Kili FM aliamrisha vyombo vya usalama ikiwepo TAKUKURU kupekua sheria na kuhakikisha kuwa Bwana Chuwa anafunguliwa kesi ya Uhujumu uchumi, rushwa na mengineyo kama hatatengua hukumu hiyo mpaka Alhamis wiki hii na kumjengea nyumba Bw. Evarist. Bwana Chuwa ameitwa TAKUKURU Moshi na simu yake imezuiliwa.

1645544179254.png
1645544221182.png
1645544298504.png
1645544332370.png
1645544360551.png
1645544392850.png

1645545185833.jpeg
1645545257487.jpeg
1645545303145.jpeg
1645545333942.jpeg
 
Huyo mkuu wa mkoa bado anaishi zama za mwendazake siyo?

Kama kweli taarifa hii ni ya kweli isambazwe kwenye social media zingine kama fb, instagram na twitter naamini taarifa itasambaa kwa haraka na wahusika wataipata naikufanyia kazi iwe fundisho kwa wakuu wa mikoa makanjanja.
 
Hapa inaonekana kweli kuna mtu kadhulumiwa ardhi lakini kuingilia mahakama hapana kwa kweli.
 
Nkuulize kitu huyo chuwa hilo shamba alinunua kwa nani?pia huyo evarist alijengaje nyumba kwenye shamba ambalo sio lake akakaa hapo miaka yote ...nliona clip ya tukio hilo
 
Dah kuna watu hawawezagi kweli kusoma ramani haya sie tunayakusanya tu
 
Naona siasa za Moshi zimeanza tena. Mnataka mmharibie Kama mlivyofanya kwa Comrade Sabaya .
 
Ninahitaji kuona au kusoma hatima ya hili jambo.
Mkuu wa Mkoa Sio kichaa, lazima kuna hujuma kubwa sana
 
Salaam Wakuu,

Nimeshangaa na sikuamini Kusikikia Stephen Kagaigai kabadilika kawa mbabe kiasi kwamba sasa hivi anawekwa kundi moja na Wakina Sabaya, Mnyeti. Huyu Mzee kabla ya kuwa Mkuu wa Mkoa, alikuwa Katibu wa Bunge akifanya kazi na Ndugai. Au ni Msongo wa Mawazo baada ya Kutolewa Kwenye ulaji Bungeni?

Watu wameshinda kesi, hukumu ipo, lakini anadai hakimu aliyehuku kesi ni Kanjanja. Hivyo eti akabatilishe hukumu, kwamba hawakupaswa kushinda. Sasa hivi anakata kila anayehusika kwenye hiyo kesi na kuwaweka ndani bila dhamana. Halafu anawaelekeza TAKUKURU wawafungulie kesi ya Uhujumu Uchumi. Anadai yeye ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa so Kwa Mamlaka yake anaweza kumuweka Korokoroni mtu yoyote. Anawatisha na kuwaweka ndani washindi waseme Mahakama imekosea wakati hukumu imetoka. Hivyo watu wanateswa ili waandike maelezo kwamba Mahakama imekosea. Mtu kashinda kesi, halafu unamlazimisha aseme hajashinda kesi au afunguliwe kesi ya Uhujumu Uchumi. Kama anaona uonevu, kwanini Wasikate rufaa kuliko kutesa watu?

Anachofanya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kwenye suala la Wakili Edward Chuwa ni kuingilia uhuru wa Mahakama na upotoshaji. Mtu aliedai kushinda kesi ya ardhi na kutetewa na Wakili Chuwa katika kesi hiyo (Land Case No. 1 of 2018) katika Mahakama Kuu, Moshi kati ya Uru Shimbwe na wadaiwa wengine saba, Evarist Mushi alikuwa mdaiwa wa sita na katika kesi hiyo alishtakiwa tu na hakuwa na madai kinzani. Katika kesi hiyo, hukumu haikumtaja kupata ardhi yoyote wala nafuu yoyote kwenye kesi hiyo. Kwenye ukurasa wa tatu wa hukumu waliotajwa kushinda kesi na maeneo kubaki kwao ni mdaiwa 1, 2, 3, 4, 5, 7 na 8. Katika hukumu hiyo hakuna mahali mahakama ilisema ameongezewa kipande cha ardhi kama alivyodai Mkuu wa Mkoa. Wakili Chuwa alikanusha kuwa Evarist ni mteja wake na hakuna ushahidi kutoka kwa Evarist kuwa aliwahi kulipa hela ya uwakili kwenye madai ya takriban shilingi 7,640,000,000 (Bilioni Saba laki sita na arobaini).

Katika Kesi Na. 14 ya 2021 ya Baraza la Ardhi la Moshi, Bw. Chuwa alitamkwa kuwa mshindi wa eneo la ekari moja dhidi ya Evarist Mushi. Baada ya kutoka hukumu ya mahakama, amri ya kumtoa kwenye eneo ilitolewa kwa mujibu wa sheria na madalali wakateuliwa kwa mujibu wa sheria na taratibu. Evarist amekata rufaa Mahakama Kuu, Moshi, Rufaa Na. 45 ya 2021 ambayo haijasikilizwa. Mkuu wa Mkoa ameingilia Mahakama kwa kutoa maamuzi kupingana na hukumu ya mahakama. Wiki iliyopita aliwaweka mahabusu Bwana Augustini Mushi (Mwenyekiti wa Mtaa), Hipoliti Makoi (Shahidi) na Patrisi Pantaleo (Shahidi) kwa siku tano bila haki ya dhamana. Tarehe 14/02/2022 alimuweka Wakili Chuwa mahabusu bila dhamana na tarehe 21/02/2022 akiongea na waandishi wa habari, Azam News na Kili FM aliamrisha vyombo vya usalama ikiwepo TAKUKURU kupekua sheria na kuhakikisha kuwa Bwana Chuwa anafunguliwa kesi ya Uhujumu uchumi, rushwa na mengineyo kama hatatengua hukumu hiyo mpaka Alhamis wiki hii na kumjengea nyumba Bw. Evarist. Bwana Chuwa ameitwa TAKUKURU Moshi na simu yake imezuiliwa.

View attachment 2127536View attachment 2127537View attachment 2127539View attachment 2127540View attachment 2127542View attachment 2127544
View attachment 2127567View attachment 2127569View attachment 2127570View attachment 2127571
Huyo ni mtu hatari sana. Alimpoteza mwendazake na watu wao wanapukutishwa kwenye system ana hatari sana huyu mtu. Inabidi watu wa hiyo kanda wawe wakuu wa mikoa huko kwao tu ili wawatese ndugu zao
 
Huyo mkuu wa mkoa bado anaishi zama za mwendazake siyo?

Kama kweli taarifa hii ni ya kweli isambazwe kwenye social media zingine kama fb, instagram na twitter naamini taarifa itasambaa kwa haraka na wahusika wataipata naikufanyia kazi iwe fundisho kwa wakuu wa mikoa makanjanja.
Mwache mwendazake apumzike zake
Kama huna ushauri unaoweza kutoa bila kumtaja mwendazake bora ukae kimya tu badala ya kuhangaika na marehemu.
Kama una hoja inayokuuma sana dhidi ya mwendazake mfuate huko alikoenda ukalumbane naye.
 
Salaam Wakuu,

Nimeshangaa na sikuamini Kusikikia Stephen Kagaigai kabadilika kawa mbabe kiasi kwamba sasa hivi anawekwa kundi moja na Wakina Sabaya, Mnyeti. Huyu Mzee kabla ya kuwa Mkuu wa Mkoa, alikuwa Katibu wa Bunge akifanya kazi na Ndugai. Au ni Msongo wa Mawazo baada ya Kutolewa Kwenye ulaji Bungeni?

Watu wameshinda kesi, hukumu ipo, lakini anadai hakimu aliyehuku kesi ni Kanjanja. Hivyo eti akabatilishe hukumu, kwamba hawakupaswa kushinda. Sasa hivi anakata kila anayehusika kwenye hiyo kesi na kuwaweka ndani bila dhamana. Halafu anawaelekeza TAKUKURU wawafungulie kesi ya Uhujumu Uchumi. Anadai yeye ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa so Kwa Mamlaka yake anaweza kumuweka Korokoroni mtu yoyote. Anawatisha na kuwaweka ndani washindi waseme Mahakama imekosea wakati hukumu imetoka. Hivyo watu wanateswa ili waandike maelezo kwamba Mahakama imekosea. Mtu kashinda kesi, halafu unamlazimisha aseme hajashinda kesi au afunguliwe kesi ya Uhujumu Uchumi. Kama anaona uonevu, kwanini Wasikate rufaa kuliko kutesa watu?

Anachofanya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kwenye suala la Wakili Edward Chuwa ni kuingilia uhuru wa Mahakama na upotoshaji. Mtu aliedai kushinda kesi ya ardhi na kutetewa na Wakili Chuwa katika kesi hiyo (Land Case No. 1 of 2018) katika Mahakama Kuu, Moshi kati ya Uru Shimbwe na wadaiwa wengine saba, Evarist Mushi alikuwa mdaiwa wa sita na katika kesi hiyo alishtakiwa tu na hakuwa na madai kinzani. Katika kesi hiyo, hukumu haikumtaja kupata ardhi yoyote wala nafuu yoyote kwenye kesi hiyo. Kwenye ukurasa wa tatu wa hukumu waliotajwa kushinda kesi na maeneo kubaki kwao ni mdaiwa 1, 2, 3, 4, 5, 7 na 8. Katika hukumu hiyo hakuna mahali mahakama ilisema ameongezewa kipande cha ardhi kama alivyodai Mkuu wa Mkoa. Wakili Chuwa alikanusha kuwa Evarist ni mteja wake na hakuna ushahidi kutoka kwa Evarist kuwa aliwahi kulipa hela ya uwakili kwenye madai ya takriban shilingi 7,640,000,000 (Bilioni Saba laki sita na arobaini).

Katika Kesi Na. 14 ya 2021 ya Baraza la Ardhi la Moshi, Bw. Chuwa alitamkwa kuwa mshindi wa eneo la ekari moja dhidi ya Evarist Mushi. Baada ya kutoka hukumu ya mahakama, amri ya kumtoa kwenye eneo ilitolewa kwa mujibu wa sheria na madalali wakateuliwa kwa mujibu wa sheria na taratibu. Evarist amekata rufaa Mahakama Kuu, Moshi, Rufaa Na. 45 ya 2021 ambayo haijasikilizwa. Mkuu wa Mkoa ameingilia Mahakama kwa kutoa maamuzi kupingana na hukumu ya mahakama. Wiki iliyopita aliwaweka mahabusu Bwana Augustini Mushi (Mwenyekiti wa Mtaa), Hipoliti Makoi (Shahidi) na Patrisi Pantaleo (Shahidi) kwa siku tano bila haki ya dhamana. Tarehe 14/02/2022 alimuweka Wakili Chuwa mahabusu bila dhamana na tarehe 21/02/2022 akiongea na waandishi wa habari, Azam News na Kili FM aliamrisha vyombo vya usalama ikiwepo TAKUKURU kupekua sheria na kuhakikisha kuwa Bwana Chuwa anafunguliwa kesi ya Uhujumu uchumi, rushwa na mengineyo kama hatatengua hukumu hiyo mpaka Alhamis wiki hii na kumjengea nyumba Bw. Evarist. Bwana Chuwa ameitwa TAKUKURU Moshi na simu yake imezuiliwa.

View attachment 2127536View attachment 2127537View attachment 2127539View attachment 2127540View attachment 2127542View attachment 2127544
View attachment 2127567View attachment 2127569View attachment 2127570View attachment 2127571
Kitu cha kisheria cha kufanya hapa ni kukata rufaa mahakama ya juu
Kingine ni kuwasilisha malalamiko haya kwenye tume ya haki za binadamu na utawala bora.
 
Acheni uongo Mkuu wa mkoa piga kazi Mzee wangu
Tulikuona kwenye TV.huo ni wizi mkubwa sana

Ipo hivi huyo wakili alimtetea mteja baada mteja wake kushinda shauri lake ,huyo wakili akamgeuka mteja wake na kuchukua Aridhi yake

Majirani wote wanakari ni sehemu ya huyu mtu aliyedhulumiwa na wakili
Shida kubwa sisi wachagga tunajiaribia wenyewe tuna ujanja wakijingajinga sana
 
Acheni uongo Mkuu wa mkoa piga kazi Mzee wangu
Tulikuona kwenye TV.huo ni wizi mkubwa sana

Ipo hivi huyo wakili alimtetea mteja baada mteja wake kushinda shauri lake ,huyo wakili akamgeuka mteja wake na kuchukua Aridhi yake

Majirani wote wanakari ni sehemu ya huyu mtu aliyedhulumiwa na wakili
Shida kubwa sisi wachagga tunajiaribia wenyewe tuna ujanja wakijingajinga sana
Wewe hii case unaijua mkuu?
 
Kitu cha kisheria cha kufanya hapa ni kukata rufaa mahakama ya juu
Kingine ni kuwasilisha malalamiko haya kwenye tume ya haki za binadamu na utawala bora.
Wakati wakikata rufaa wahuni wanaendelea kufanya transfer Hati.
Huku ukisubiri jaji kuisikiliza rufaa , jaji atskuwa nabudhuru at the end shamva linauzwa kwa mtu mwingine.
Mawakili wenginevni wahuni wanatumia mahakama vibaya
 
Back
Top Bottom