ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Hii Katiba ni ile ya Chama kimoja Enzi za Chama kimeshika Hatamu π π³πHizo zilikuwa enzi za chama kimoja sio Sasa.
Anyway tatizo katiba yetu imetoa huo mwanya
Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya ccm Mkoa, tunachopaswa kufanya kwa sasa ni kumtimua jeshini
Ndio ni sahihiPicha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.
Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.
Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
View attachment 3055377
Hadi saizi ni RC wa ManyaraCcm wnyw wanasema kila mtu akizaliwa anakuwa n mwanaccm labla aamue mwnyw kukengeuka, n sawa na yule aliyegombea mwanamke aliyewahi kugombea urais enzi za JPM na akapewa ukuu wa mkoa wa Iringa akaambiwa lazima asimamie ilani ya ccm
Ht mbowe akipewa ukuu wa wilaya lazima asimamie ilani ya ccmHadi saizi ni RC wa Manyara
Mbona waajiriwa wengi wa kwenye vyombo wanavaa? Mbona hata Dr Nchimbi amevaa na haujahoji? Sioni ubaya wa Uyo afande kuvaa nguo ya CCM.Picha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.
Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.
Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
View attachment 3055377
Halafu wanakufa kibwege sana! huyu hata Shehe aliyemswalia aliokotwa tu, mashehe wa Zanzibar wacha Mungu waligomaView attachment 3055434
Jecha nasikia alikuwa aliyeamini....Hakujua haya mafundisho ya uadilifu?