Mkuu wa mkoa wa Mtwara kuonekana kavaa nguo za chama cha Mapinduzi wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ ni sahihi?

Mkuu wa mkoa wa Mtwara kuonekana kavaa nguo za chama cha Mapinduzi wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ ni sahihi?

Hizo zilikuwa enzi za chama kimoja sio Sasa.

Anyway tatizo katiba yetu imetoa huo mwanya
Hii Katiba ni ile ya Chama kimoja Enzi za Chama kimeshika Hatamu 😅😳🙌

Ila ilifanyiwa marekebisho kidogo Enzi za Mzee Ruksa ili kuruhusu Vyama vingi !
 
Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya ccm Mkoa, tunachopaswa kufanya kwa sasa ni kumtimua jeshini

Haitakaa kuja kutokea. Ndio maana General Ibuge amerudi tena jeshini. Hawa wanafanya kazi nyingi sana. Sio kuwachukulia kirahisi. Sio kama jamaa yetu wa AR
 
Picha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.

Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.

Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
View attachment 3055377
Ndio ni sahihi
 
Ccm wnyw wanasema kila mtu akizaliwa anakuwa n mwanaccm labla aamue mwnyw kukengeuka, n sawa na yule aliyegombea mwanamke aliyewahi kugombea urais enzi za JPM na akapewa ukuu wa mkoa wa Iringa akaambiwa lazima asimamie ilani ya ccm
Hadi saizi ni RC wa Manyara
 
Kitendo tu cha kukubali kuwa mkuu wa mkoa tayari anatekeleza ilani ya Ccm
 
Picha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.

Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.

Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
View attachment 3055377
Mbona waajiriwa wengi wa kwenye vyombo wanavaa? Mbona hata Dr Nchimbi amevaa na haujahoji? Sioni ubaya wa Uyo afande kuvaa nguo ya CCM.
 
Unawez tuzibitishia kuw hyo n nguo ya ccm
 
Back
Top Bottom