Tetesi: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amwangukia Sangoma

Tetesi: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amwangukia Sangoma

Brigedia Chan-ocha

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
1,353
Reaction score
2,846
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.
 
Ni vizuri sana, maana amesoma alama za nyakati
 
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.

Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.
Tuendelee kuzungusha mikono mkuu

 
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.
Hata angekwenda Nigeria mlongo hafai na huu ndio mwisho wake kisiasa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mulongo na Mulozi ni watu wa kuchomaaa!!
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh
Cc lizaboni
Cc Ritz
 
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.
Mbona anazunguka sana na wakati kuna dawa ya uhakika hapa kinondoni, aongee vizuri tu na Makonda atamsaidia tena mambo yatajibu kabla hata ya uteuzi rasmi
 
JF inaelekea kubaya...mods wanaruhusu vipi uzi wa aina hii?!
Nashangaaa mimi nimetuma post zangu mood hawazirusu tena za maana ila watu wanapost mambo ya hovyo hovyo hayana hata tija kwa Taifa mood wanazirusu.. kulikoni JF?
 
Taifa linaloamin ushirikina. Si huyu jamaa ana masters?
 
Ukitaka kula hela zao sasa ni kuweka bango, "MGANGA MAARUFU KUTOKA MWANZA, ANASAFISHA NYOTA"
1455630864758.jpg
 
Mhe. Rais Magufuli kwa kweli sisi ni wananchi wa Mkoa wa Mwanza Ndugu MULONGO MAGESA hafai kuwa Mkuu wa Mkoa popote nchi hii. Tumia watu wako wa Usalama wakueleze yote yanayomhusu Mulongo kuanzia alpoingia Mkoa huu.
 
Back
Top Bottom