Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ya ubondia au kunyanyua vitu vizito?teeeeeeeeeh teeeeeeeehWakapate tuitions kwa makonda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya ubondia au kunyanyua vitu vizito?teeeeeeeeeh teeeeeeeehWakapate tuitions kwa makonda.
Mmndenyi umepitia nini huko?mimi ni mganga maarufu kutoka msumbijiUkitaka kula hela zao sasa ni kuweka bango, "MGANGA MAARUFU KUTOKA MWANZA, ANASAFISHA NYOTA"
Mkuu ogopa mtu anaye penda kufanya kazi kwa sifa,yupo tayari kufanya lolote ili mradi aendelee kubakia kwenye nafasiRAS wa MWANZA sii ni Kamishna wa polisi? Basi atumie maujuzi yake kuwalinda wale Vijana pale Buhangija dhidi ya huyu mtaka vyeo. Ulinzi uimarishwe hadi teuzi zote zipite.
Kumbe huyu MTU no hatari hivi?
Huyo diwani ameridhika na huo udiwani wake na hatoki labda yeye aamue kuuwachiaNON SENSE-kwa nini huyo diwani asifanye akakumbukwa na yeye?kwani yeye hataki ukubwa?
Cc lizaboniHuyo Mulongo ni JIPU ambalo lenyewe limeshatumbuka kiaina, lililelewe na serikali ya awamu ya 4 iliyokuwa inabeba marafiki na kujuana na SIO utendaji!
Huyo labda siyo Mulongo ninayemjua mimi
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.
Honestly mimi siyo mshabiki wala adui wa Mlongo Ila ulichoandika, ni wazi kuwa wewe ni mtu nambari moja unayeamini mambo ya Sangoma na ni MTU unayesitahili kupuuzwa katika posts zako zote!!!
Tuition ya Kufunga kamba za Viatu?Wakapate tuitions kwa makonda.
Masters ya nini? Alijiendeleza lini maana alikua 'suka' pale magogoni kabla ya kuzawadiwa u-dc bagamoyo![/QUOTEourc
Chanzo tafadhari.]
S
Wasi wasi wangu ni ndugu zetu wa pale buhangija sijui hali yao itakuwaje