Tetesi: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amwangukia Sangoma

Tetesi: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amwangukia Sangoma

Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.
Hahahahahahaha! Siamini kabisa kama sangoma atafaulu kuvunja ngome ya ikulu na kumfikia Rais ni afadhani basi angeanza kwenda kanisani na kumuomba Mungu.
 
Kuna MZEE alitafuta urais kwa kuvaa Pete LA kishetani mkono wa kuria,
Lkn haikumsaidia
Nao wanapoteza muda, wajifunze kwa huyo MZEE,
Njia pekee ni
1,uadirifu wako,
2, ubunifu
3, kujituma
4, na uwezo wa kuongeza,
Basi kama wewe ni mchafu wapishe waadirifu,
 
Magesa Mulongo yule anae ongea analambalamba midomo...km ni uyu ni bora ata Mkoa usiwe na RC uyu hafai ata nukta...
 
Mleta mada tuwekee chanzo cha habari hii usituletee habari za kuokoteza. Nadhani Mulongo kisha kusoma akusukumizie ndani upambane na sheria ya mtandao.
 
Mtemi Chenge nae alikamatwa na Camera za bunge akiwa anamwaga sijui unga...uchawi ni desturi ya wanasiasa
 
Kumbe ndio maana wauwaji wa maalbino hawakamatwi, washirika ndio haohao wanaosema tunawalinda kwa kutumia majukwa ya siasa...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mulongo na Mulozi ni watu wa kuchomaaa!!

Hahahahahaaaaa! Kusemasema balisema tumechokaaa.... Mulongoo na Mulozi, ni watu ya....... Hahahahaaaa!
 
Washauri wa Rais wanatakiwa wamsisitize mheshimiwa aharakishe kuwateua maRC na maDC kabla upepo huu mpya haujashika kasi.
 

Attachments

  • 1455689775411.jpg
    1455689775411.jpg
    86.3 KB · Views: 43
Wasi wasi wangu ni ndugu zetu wa pale buhangija sijui hali yao itakuwaje
RAS wa MWANZA sii ni Kamishna wa polisi? Basi atumie maujuzi yake kuwalinda wale Vijana pale Buhangija dhidi ya huyu mtaka vyeo. Ulinzi uimarishwe hadi teuzi zote zipite.
Kumbe huyu MTU no hatari hivi?
 
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.

NON SENSE-kwa nini huyo diwani asifanye akakumbukwa na yeye?kwani yeye hataki ukubwa?
 
Huyo Mulongo ni JIPU ambalo lenyewe limeshatumbuka kiaina, lililelewe na serikali ya awamu ya 4 iliyokuwa inabeba marafiki na kujuana na SIO utendaji!
 
Kuna Taarifa kwamba Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza Bwana Magesa Mlongo, amemwangukia Mganga maarufu huko Misungwi ili Mh. Rais Amkumbuke kwenye Uteuzi wake, taarifa zinasema, mganga huyo ambaye pia ni diwani maarufu wa CCM huko Misungwi na aliyedumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo takribani vipindi 8 ni mganga mzoefu sana katika shughuli hizo ambapo ameombwa amfanyie vyovyote anavyoweza ili Mh. Rais ambakishe katika nafasi yake ya mkuu wa mkoa au amkumbuke katika nafasi yoyote.
We sema tu kama amemtafutia huyo mganga, albino wa kafara!!
 
For now tunataka fikra mpya ,hivi hawa viongozi wanafikiri hakuna wasomi wengine wenye maoni tofauti na ya kwao???
 
Back
Top Bottom