Dito kisha tengenezewa mazingira ya kupunguziwa adhabu,his was murder,pure and simple,lakini mtasikia atashtakiwa for manslaughter,which carries a much lesser sentence(could be even less than 10 yrs) Kitendo cha Tibaigana kusema kuwa 'kaua bila kukusudia' ana maana hio ni manslaughter.
Kwa wale ambao wanadhani anaweza kuokolewa,wasijidanganye,kesi ya mauaji especially kama hii ambayo kiongozi kaua raia mpiga kura akiwa 'sehemu' yake ya kazi,hata raisi anaikimbia.Leo hii Waziri wa Serikali za Mitaa ambaye ndio bosi wa ma RC kishasema sheria itafuata mkondo wake,hilo kwa kifupi ni tamko la serikali.
Mimi ningependa kupingana na wOrM anayeunga mkono kitendo hicho.
Moja,no matter what,nobody has the right to take the life of another,period!
Pili, jaribu kwanza kujiweka kwenye nafasi ya muendesha daladala...i.e,unaamka saa kumi na moja asubuhi na kumaliza kazi saa tano usiku,hapo tumeongelea muda tu.Sasa basi,fikiria muda wote huo unaufanya kwa kupita njia ileile kwa masaa zaidi ya 18,kwenda na kurudi,with all the traffic,heat,fatigue and so forth,jaribu hata na gari ndogo tu uone ugumu wake.. Katika muda huo, umetukanwa matusi aina yote unayoyajua,umetishiwa kupigwa mara nyingi tu,kugombana na abiria waogoma kulipa,huku traffic police nae ana yake on top of that,ni lazima ukamilishe hesabu kwa mwenye basi! Tusisahau kuwa hawa ni binadamu,wanaotegemewa na familia zao ambao wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana.Ukilielewa hilo,(ambalo Ditto kwa kuwa ni mtoto wa mjini kama anavyojiita mwenyewe,na alishakiuwa RC wa Dar analielewa vizuri sana)hutaweza hata kutukanana nao,utaona ni upuuzi na kujipotezea muda.
Huyu bwana asingekuwa dereva wa daladala leo hii angekuwa hai.Kilichomponza mpaka akapoteza maisha yake sio wizi,ubakaji,ujambazi au utapeli,bali ni KAZI YAKE halali.Na aliyemuua,probably alikuwa anakwenda Bagamoyo kujipumzisha na kimwana wake(maana taarifa zinasema kulikuwa na abiria wa kike kwenye gari).Na ilikuwa ni weekend.
Kwa kifupi ni kwamba,Ditto ndio kishajimaliza kisiasa,maana definatelly atakuwa convicted,Tibaigana was pretty specific on that,maana alisema 'mheshimiwa aliua bila kukusudia'...sio kwamba inasadikiwa aliua.In that sense kishakuwa criminal,na hawezi kuajiriwa tena.Msamaha wa raisi ndugu zangu huawahusu wauaji,wabakaji,kesi za madawa ya kulevya. Huyu ni muuaji,msamaha wake ni Mungu tu!
Pia ningependa kugusia kwenye hili la kusema kagonga kioo mpaka risasi ikajifyatua...thats bullshit!Hata kama angegonga kioo na hakutaka kumdhuru ule mtutu ungeelekea juu,ili incase of anything dereva wa daladala asidhurike,hilo moja na pili hata kwenye movie jamani muwa tunaona mtu akigonga kitu hiwa anatumia kitako(butt) kama kweli hadhamirii kumdhuru mlengwa.And what happened to that thing they call safety?Na risasi ilikuwa inafanya nini kwenye chamber,alikuwa anategemea kuvamiwa?Being an ex soldier,he has all the answers.Kwangu mimi,i dont care yeye ni nani,that was murder tena premeditated!