Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
WatamkumbukaRaisi aliyekua anawafikiria wanyonge
Sindio mlimuita dikteta
Debe la mahindi linacheza kwenye elfu 22.
Kipunga na maharage ndio kipepaa vibaya sana. Leo hii mchele ni sh 3000 na maharage elfu 3000.
Mkuu wa nchi yupo kimya na anachukulia poa tu.
Wananchi wa kawaida hawana uhakika wa kula
siku ya mwisho kila goti litapigwaDebe la mahindi linacheza kwenye elfu 22.
Kipunga na maharage ndio kipepaa vibaya sana. Leo hii mchele ni sh 3000 na maharage elfu 3000.
Mkuu wa nchi yupo kimya na anachukulia poa tu.
Wananchi wa kawaida hawana uhakika wa kula
Yule alikuwa muuaji na kila aina ya uovu, tatizo wengi mnapenda kubebwa bafala ya kufanya kazi ujiingizie kipato mnabaki kulaumu kama watoto yatimaRaisi aliyekua anawafikiria wanyonge
Sindio mlimuita dikteta
Yule alikuwa muuaji na kila aina ya uovu, tatizo wengi mnapenda kubebwa bafala ya kufanya kazi ujiingizie kipato mnabaki kulaumu kama watoto yatimaRaisi aliyekua anawafikiria wanyonge
Sindio mlimuita dikteta
Sukuma gang pekeeWatamkumbuka
Kesho yangu ndio nini? NisaidieWewe ndiye huna akili, badala ya kutafuta kesho yako unabaki kulalama kama kenge
Debe la mahindi linacheza kwenye elfu 22.
Kipunga na maharage ndio kipepaa vibaya sana. Leo hii mchele ni sh 3000 na maharage elfu 3000.
Mkuu wa nchi yupo kimya na anachukulia poa tu.
Wananchi wa kawaida hawana uhakika wa kula
Sio kila kiongozi ni kiongozi.Debe la mahindi linacheza kwenye elfu 22.
Kipunga na maharage ndio kipepaa vibaya sana. Leo hii mchele ni sh 3000 na maharage elfu 3000.
Mkuu wa nchi yupo kimya na anachukulia poa tu.
Wananchi wa kawaida hawana uhakika wa kula
Wanyonge gani aliwafikiria kuna wanyonge zaidi ya wakulima mbona bei za mazao zilishuka na kukopwa mazao.Raisi aliyekua anawafikiria wanyonge
Sindio mlimuita dikteta
Alisahau kukuu*na ww takatakaYule alikuwa muuaji na kila aina ya uovu, tatizo wengi mnapenda kubebwa bafala ya kufanya kazi ujiingizie kipato mnabaki kulaumu kama watoto yatima
Ungekuwa una akili hata za kuvukia barabara ungegundua hiyo ni FURSA. Una mwezi wa tatu unaandika kuhusu bei za chakula na bado hujafa kwa kushindwa kununua. Hakuna mtanzania hata mmoja amekufa kwa kupanda kwa bei za vyakula.Debe la mahindi linacheza kwenye elfu 22.
Kipunga na maharage ndio kipepaa vibaya sana. Leo hii mchele ni sh 3000 na maharage elfu 3000.
Mkuu wa nchi yupo kimya na anachukulia poa tu.
Wananchi wa kawaida hawana uhakika wa kula
hahahahaSi mnamuita mama yenu,