kilaza mjanja
JF-Expert Member
- Jun 2, 2016
- 654
- 1,144
- Thread starter
- #21
unajua nafanya kazi gan magogoniHeshimu kazi ya watu kama ambavyo kazi yako watu wanavyoiheshimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajua nafanya kazi gan magogoniHeshimu kazi ya watu kama ambavyo kazi yako watu wanavyoiheshimu
Ukijifunza kuweka akiba ya maneno itakusaidia hata huko mbeleniUmbeya tu dalili za idleness! Shame
hahahaa hilo nino la mwisho hapo limuepukeumesema ni taarifa kutoka vyanzo vyako vya udukuzi?
kisu cha ngariba,Atabadilisha mpaka mwaka 2020.
Asante sana kwa kuliona hilo mkuuPaul Makonda amelewa sana sifa na limbukeni wa kutupwa... yule kijana hana adabu kabisa na uwepo wake DSM unaondoa credibility ya Magufuli kwa jamii.
Ikulu hakuna wapuuzi kama weweTaarifa zilizo tufikia kupitia vitengo vyetu vya udukuzi wa taarifa upo mpango wa kuwaondoa baadhi ya mawaziri walipo kwenye baraza la mawaziri walioshindwa kuendesha wizara zao kwa ufanisi.
Baada ya kushambuliwa baadhi ya mawaziri bungeni hapa ikulu vikao haviishi kuhusu namna ya kulisuka upya baraza la mawaziri ambalo linasadikiwa kukosa mvuto kwa wabunge na jamii kwa ujumla.
Japo swala hili linajadiliwa kwa usiri mkubwa ila mpaka sasa wapo baadhi ya mawaziri wameshaitwa ikulu kuhojiwa juu ya utendaji wao na wengine kuandikiwa barua za onyo wa mwenendo wao.
Pia mjadala mwingine uliopo ikulu ni ule wa mgogoro mzito ulipo kati ya waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mh lukuvi na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ambao umeonekana kubeba sura ya kuiaibisha serikali kwa massage alio tuma mh lukuvu kwa paul makonda ya kusema "wewe ni nani kwenye serikali hii? mbona unaingilia majukumu yasiyo yako?" ambapo kiupitia ujumbe huo ulisababisha kurushiana maneno baina ya viongozi ndani ya serikali hii.
Tamati, ni kweli vipo vikao vya tasmini juu ya baraza la mawaziri na baadhi ya viongozi wa serikali hii ya awamu ya tano, muda sio mrefu mbeleni mambo yatakuwa wazi.
by
****** mjanja wa magogoni
sasa mimi unaweza kunilinganisha na Johari Pembe Malaya (JPM) acha kunifananisha na vitu vya ovyo ovyoIkulu hakuna wapuuzi kama wewe
Halina Ubani.....La kuvunda halina ubani
Hata Kama Makonda alikosea lakini kauli aliyotumia Lukuvi sio ya hekima.Ni ya kujikweza na kibabe.Lukuvi ni potential Sana kuliko hata huyo makonda, viongozi wanaingilia majukumu mengine hayawahusu, lazima kuwe na mipaka
Kwani tatizo la January ni lipi? Makonda yupo kwenye media mnalalamika, January anatekeleza majukumu yake kimya kimya bado mnalalamika!List hii hapa
1:- January Makamba
2:-Muhongo
3:-J4 Maghembe
Na mengine ntawaletea kadri nnavyopenyezewa