Tetesi: MKUU WA NCHI KUWAONDOA BAADHI YA MAWAZIRI

Tetesi: MKUU WA NCHI KUWAONDOA BAADHI YA MAWAZIRI

Status
Not open for further replies.
Wao wafukuzane tu. Ila kikubwa sisi watuletee tuwe huru ya uchaguzi.
Taarifa zilizo tufikia kupitia vitengo vyetu vya udukuzi wa taarifa upo mpango wa kuwaondoa baadhi ya mawaziri walipo kwenye baraza la mawaziri walioshindwa kuendesha wizara zao kwa ufanisi.

Baada ya kushambuliwa baadhi ya mawaziri bungeni hapa ikulu vikao haviishi kuhusu namna ya kulisuka upya baraza la mawaziri ambalo linasadikiwa kukosa mvuto kwa wabunge na jamii kwa ujumla.

Japo swala hili linajadiliwa kwa usiri mkubwa ila mpaka sasa wapo baadhi ya mawaziri wameshaitwa ikulu kuhojiwa juu ya utendaji wao na wengine kuandikiwa barua za onyo wa mwenendo wao.

Pia mjadala mwingine uliopo ikulu ni ule wa mgogoro mzito ulipo kati ya waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mh lukuvi na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ambao umeonekana kubeba sura ya kuiaibisha serikali kwa massage alio tuma mh lukuvu kwa paul makonda ya kusema "wewe ni nani kwenye serikali hii? mbona unaingilia m
 
kisu cha ngariba,
Andika kiswahili fasaha tukuelewe! 'Atabadilisha' au 'Hatabadilisha'?
Mbona tayari alishabadilisha Mambo ya ndani kwa kumtoa Kitwanga na kumwingiza Mzee Madelu Nchemba??Je, hilo siyo badiliko? Mimi nataka nikuhakikishie kuwa mpaka kufikia 2020 Mawaziri wengi watautema Uwaziri kwa kupenda au kutopenda!
Time gonna tell and I am ready to bet for that!! Scandal iliyoibuliwa juzi na KUB kuhusu rushwa ya 10m kwa kila Mbunge wa CCM lazima iondoke na watu! Kuna kufilisika kwa Benki ya Twiga Bankcorp, JPM amesema kuna Wanasiasa wamekomba Mabilioni ya fedha kati ya 5B-20B na hawa ni wana CCM na JPM atalala nao mbele we subiri tu!
Twiga bancorp ifilisike mara ngapi?

Twiga bancorp imeshafilisika na sa hivi
Imejikabidhi kwa BOT, inamilikiwa na BOT
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom