Tetesi: MKUU WA NCHI KUWAONDOA BAADHI YA MAWAZIRI

Status
Not open for further replies.
Paul Makonda amelewa sana sifa na limbukeni wa kutupwa... yule kijana hana adabu kabisa na uwepo wake DSM unaondoa credibility ya Magufuli kwa jamii.
 
Atabadilisha mpaka mwaka 2020.
kisu cha ngariba,
Andika kiswahili fasaha tukuelewe! 'Atabadilisha' au 'Hatabadilisha'?
Mbona tayari alishabadilisha Mambo ya ndani kwa kumtoa Kitwanga na kumwingiza Mzee Madelu Nchemba??Je, hilo siyo badiliko? Mimi nataka nikuhakikishie kuwa mpaka kufikia 2020 Mawaziri wengi watautema Uwaziri kwa kupenda au kutopenda!
Time gonna tell and I am ready to bet for that!! Scandal iliyoibuliwa juzi na KUB kuhusu rushwa ya 10m kwa kila Mbunge wa CCM lazima iondoke na watu! Kuna kufilisika kwa Benki ya Twiga Bankcorp, JPM amesema kuna Wanasiasa wamekomba Mabilioni ya fedha kati ya 5B-20B na hawa ni wana CCM na JPM atalala nao mbele we subiri tu!
 
Ikulu hakuna wapuuzi kama wewe
 
Makonda ni mpiga dili Sana, chai yake iko mezani tutamlipua muda sio mrefu

Michezo anayoshirikiana na meya wa jiji la Dar es salaam tunayo yote, hata michezo na wafanyabiashara tumeidaka yote

Makonda subiria chai Yako iko jikoni
 
Issue kubwa itakuwa ni kuvuja kwa siri ya wabunge kuhongwa tu.
 
Orodha Imekamilika Wababaishaji Hawatapona
Kwa Wahariri Jumanne Pondamali Mensah
Aliona Haya Akameza Maneno Tu
Ila Sasa Baraza Linakwenda Kubomolea Na Watakaondoka Tutawataja Soon!
 
List hii hapa

1:- January Makamba

2:-Muhongo

3:-J4 Maghembe


Na mengine ntawaletea kadri nnavyopenyezewa
 
Lukuvi ni potential Sana kuliko hata huyo makonda, viongozi wanaingilia majukumu mengine hayawahusu, lazima kuwe na mipaka
Hata Kama Makonda alikosea lakini kauli aliyotumia Lukuvi sio ya hekima.Ni ya kujikweza na kibabe.
 
Asante kwa taarifa ila nenda tena kwenye semina ya uandishi ili ujifunze namna ya kutumia herufi kubwa na herufi ndogo. Kumbuka, majina ya watu, miji, nk huanza kwe herufi kubwa...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…