Umeoa? Ungekuwa na ndoa mke ndo angekuwa bullet proof yako ya Kwanza kuwa huna nyege mlipuko.....sasa mtu ukute hujaoa, halafu unacheka Cheka na mwanafunzi, unamtuma nyumbani kwako, unamtuma dukani, unamnunulia madaftari, unampambania hadi unakorofishana na mkuu wako.....huyo mwanafunzi mwenyewe anaweza kuhisi unamtaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushauri wangu ukifanikiwa kurudi kazini acha kujenga bifu na mkuu wako, akikutafuta hakukosi as hujakamilika.....ishi kinafiki, usiulize ulize mambo ya pesa, hayakuhusu.....
pambana na mishe zako kimya kimya.....sio umefungua kimradi kimekubali unawaona staff wenzio hawajielewi wewe ndo una akili..... watu wakilia njaa na wewe lia njaa, kwenye ualimu wachawi ni wengi.....Kama staff ina walimu 20, ujue wachawi hawapungui 17[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]