Mkuu wa Shule na Mzazi wa Mwanafunzi walinitengenezea zengwe hadi nikafukuzwa kazi

unakuta kafukuzwa ualimu na utumishi yaan vyeti vimefungiwa
 
Aise! haya maswali ni magumu
 
Kweli. Kama kaonewa atafanikiwa tu kimaisha hata kama si hapo shuleni na waliomuonea watapata kazi ya kujisafisha kwake. Hii imetokea mara nyingi.
kweli mkuu japokuwa wanasema dua la kuku halimpati mwewe basi tena
 
kweli hata wanaoua japo ushahidi unakuwepo mbona wanahamishwa tu
 
Inaonesha wewe mwl ulikuwa karibu na huyo mwanafunzi, kuna shida mahali haiwezekani kila kiongozi awe against wewe
wakati mwingine yaweza kuwa au mama mzazi mbona alikuwa anapambana na mkuu wakati kashika makali
 
1.. umewahi kuwa karibu na huyo bint?
2. Mara ngapi amekuwa akiuza duka lako au wakati gani?
3. Kama ulikuwa msaada kwa mama na baba wa mtoto imekuaje nao wakugeuke ikiwa hakukuwa na nia yoyote ovu kwa mtoto?
Duu! sema tu kabla halija kupata unaweza usijue 𝐏𝐈𝐀 𝐇𝐀𝐏𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐀 𝐊𝐄𝐒𝐈 𝐘𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐙𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐎𝐓𝐎
 
𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚
 
Hakuna haki nchi hii kama ni hivyo, inawezekanaje niwatreat wenye matatizo na wasiokuwa na matatizo the same?
Kwamba ilibidi nimuache mtoto mwenye shida ya Usajili kwa kuwa tu ni binti?
Changamoto sana!
𝐖𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐨𝐩𝐨 𝐦𝐚𝐠𝐞𝐫𝐞𝐳𝐚𝐧𝐢 𝐬𝐢 𝐤𝐰𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐡𝐚𝐭𝐢𝐚 𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐬𝐢𝐧𝐠𝐢𝐳𝐢𝐰𝐚
 
hapa watu watakushambulia sana bora utafute mwasaikolojia pembeni akusaidie kurudisha akili yako sawa kwanza
 
masuala kama haya yanahitaji raslimali nyingi kama huna hela huwezi endesha kesi mkuu
 
mie nahis mkuu alitaka rushwa katika regstration ya mtoto .ndo hyu ticha akampa mfumo wa siri wakufika ngazi za juu ..mkuu akaona anaharibiwa dili hapo...
Makox hebu clear hapa
Huenda lakini mimi sina uhakika kwa kuwa sikuwahi kuongea chochote uso kwa uso na mkuu wa shule kuhusu tatizo la usajili wa mtoto lakini alichokuwa anakilazimisha kifanywe (Kumlazimisha mtoto akariri au ahame kwa lazima), ni kosa la rushwa pia (Matumizi mabaya ya madaraka).
Na ukweli ni huo kuwa kosa langu lililompa hasira mkuu wa shule ni la mimi kumpa mfumo wa siri wakufika ngazi za juu, (Nina uhakika kwa sababu siku niliyompa ushauri huo mzazi ndiyo mzazi na mtoto walipoanza kuandikishwa barua za malalamiko ya mimi kumtongoza huyo mwanafunzi tena wakiwa ndani ya ofisi ya mkuu wa shule pasipokuwa na mtu mwingine wa ziada.
 
🤔
 
NIPO TAYARI KUPAMBANA NA YEYOTE KATIKA HILI, KAMA YUPO WAKUNIUNGA MKONO NAMUOMBA SANA KWA MIKONO MIWILI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…