Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Torati ipo kwenye sura ipi ndani Quran?Hiyo Torati yenyewe ni kitabu cha Musa na kipo kwenye Quran
Nikitulia nitakuwekea, kitabu cha zaburi pia kipo kwenye Qurani.Torati ipo kwenye sura ipi ndani Quran?
Tunakusubiri utulie, ila usisahau Sanamu na msalaba.Nikitulia nitakuwekea, kitabu cha zaburi pia kipo kwenye Qurani.
acha ujinga wewe, unadhani wakristo wote wanaabuu misalaba na masanamu? Kwanza jiulize unakoabudu umewekewa mwezi na nyotaTunakusubiri utulie, ila usisahau Sanamu na msalaba.
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini:
Al Mustapha ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Taghavi Tawi la Tanzania amewaomba Waislamu wote duniani kukipenda kitabu kitakatifu cha Quraan akisistiza ni kitabu pekee ambacho waumini wote wamekubaliana kukitumia na kimetoka kwa Mungu kupitia Mtume Muhammadi.https://www.ippmedia.co.tz/nipashe-jumapili/habari-nipashe-jumapili/kitaifa-nipashe-jumapili/read/waislam-wahimizwa-kuipenda-quran-2024-04-28-145732
Nipashe