Mkuu wa Ujasusi wa Rwanda, Lt. Gen Kayumba Nyanwasa, asema Kagame ni chanzo cha matatizo yote Congo na maziwa makuu

Mkuu wa Ujasusi wa Rwanda, Lt. Gen Kayumba Nyanwasa, asema Kagame ni chanzo cha matatizo yote Congo na maziwa makuu

Tanzania tusipoweka nguvu kubwa kwenye intelligence ndani ya Rwanda na kujua Siri na mikakati yao, hakika ipo siku hawa watutsi watatupiga watatutawala. Kagame ameweka mapandikizi wa kutosha hapa Tanzania ndani ya jeshi, serikalini,.mawaziri mpaka ikulu. Na upo mpango wa muda mrefu wa Watutsi kuitawala sehemu kubwa ya Africa hasa Mashariki, kati na kusini. Ni taarifa za kweli na uhakika. Kama Congo na ukubwa wote anapigwa kama mtoto, kinachomsaidia ni Watutsi/banyamulenge wenzake aliowapachika katika jeshi na serikali ya DRC sawa na Tanzania. Watawala wetu wamejikita na upinzani, rushwa na uchaguzi. Tutalia na kubeba magodoro kukimbia kama wakongo.

Mkuu unajua tz amepandikiza wangapi Rwanda?? Kiufupi Rwanda yuko uchi sana kwa tz
 
Kwahiyo unataka kusema Kisumbwa na Kinyamwezi ni lugha moja?!
Kinyamwezi ndiyo hichohicho kisukuma, tofauti matamshi tu,we ndo unaona tofauti, kisukuma njemu(bangi), kinyamwezi nzyemu, kisukuma shija,nyamwezi sizya..ni matamshi tu
 
Kinyamwezi ndiyo hichohicho kisukuma, tofauti matamshi tu,we ndo unaona tofauti, kisukuma njemu(bangi), kinyamwezi nzyemu, kisukuma shija,nyamwezi sizya..ni matamshi tu
Nimekuuliza swali naomba majibu Wasumbwa na Wanyamwezi wanaongea lugha moja?👈 jibu tafadhali.
 
Hatumiki, ukiamini kila kitu bila kujiuliza utayumbishwa ubongo. Pale hao rebels wa M23 in a way wanamsaidia ku-deal na Interahamwe hivyo ana kila sababu ya kuwasaidia, tatizo la Congo mpaka rais ni tapeli. Vita vyao wanataka wapigane watu wengine, wameenda kuokota Wazungu eti mercenaries wanadhani mazoezi ya kulenga shabaha na kubeba vyuma ni sawa na kuwindana misituni. Vita si sawa na kucheza mayenu, Wakongo wajitoe wapiganie nchi yao wenyewe. Watu wetu wamekufa na wengine kujeruhiwa ushindi ukipatikana faida wanapata wao, wasanii sana.

..Kayumba Nyamwasa anadai wakati wa Kabila Jnr kulifanyika operation ya pamoja ya jeshi la Rwanda na DRC kuwaangamiza Fdlr-Interahamwe.

..Pia anasema hata jeshi la Uganda liliwahi kupewa ruhusa ya kufanya operation kuwasaka magaidi wa Uganda waliojificha DRC.

..lingine ambalo Kayumba Nyamwasa amesema ni kwamba wapo Fdlr waliorejea toka DRC na wamekuwa integrated ktk jeshi la Rwanda.

..maelezo hayo yanaleta utata kuhusu uhalali wa madai ya Rwanda kuhusu usalama wake.

..kwa mfano, badala ya kufadhili waasi dhidi ya DRC kwanini Kagame asiombe JOINT OPERATION na jeshi la DRC ku-eliminate magaidi wa Fdlr-Interahamwe?

..Jambo hilo linawezekana kwasababu tayari kulikuwa na urafiki kati ya Kagame na Tsishekedi.
 
Usiruke huku na kule, nakuuliza tena Wasumbwa na Wanyamwezi wanaongea lugha moja ?!👈 usirukeruke.
Acha ujinga,ulisema wasumbwa siyo wanyamwezi,nikakutajia makabila matano yanayotengeneza kabila la wanyamwezi,hakuna kabila maalum la wanyamwezi
 
Acha ujinga,ulisema wasumbwa siyo wanyamwezi,nikakutajia makabila matano yanayotengeneza kabila la wanyamwezi,hakuna kabila maalum la wanyamwezi
Nakuuliza tena naomba unijibu Wasumbwa na Wanyamwezi wanaongea lugha moja? naomba jibu moja yes au no!

Acha kurukaruka usupojibu hili nitkupuuza na kukuona hujui kitu.
 
Nakuuliza tena naomba unijibu Wasumbwa na Wanyamwezi wanaongea lugha moja? naomba jibu moja yes au no!

Acha kurukaruka usupojibu hili nitkupuuza na kukuona hujui kitu.
Kwenda zako huko,kazi kubishabisha tu
 
Nimekwambia kwenda,unabishia hadi rekodi za serikali,mnaweza mkawa kabila moja halafu lugha tofauti!?
Mkuu wewe ndio unaweza ukawa mhamiaji haramu kwenye Taifa hili ninekushtukia😆😆😆😆😁

Sasa nimekujua hunisumbui tena labda uje na zile ID zako nyingi nyingi zingine 😆😆😆😂.

Kwishney!!!
 
Mkuu wewe ndio unaweza ukawa mhamiaji haramu kwenye Taifa hili ninekushtukia😆😆😆😆😁

Sasa nimekujua hunisumbui tena labda uje na zile ID zako nyingi nyingi zingine 😆😆😆😂.

Kwishney!!!
We ni bogus
 
Back
Top Bottom