TANZIA Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed akutwa hotelini akiwa ameaga dunia

TANZIA Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed akutwa hotelini akiwa ameaga dunia

Nimepokea taarifa za msiba kwa masikitiko nimemfahamu vema toka nikiwa primary mwanzoni mwa miaka ya 2000's alipokuja kuanza kazi kituo Cha polisi jirani na nyumbani. Alikuwa anapenda Sana watoto nilimzoea alipokuwa anakuja home kupata mawaidha kwa mshua. Ni mpambanaji mzuri alipoajiriwa baadae kidogo alikwenda kusoma ualimu then shahada ya sheria na kwa mda mrefu akawa mwendesha mashtaka wa polisi baadae sikuwahi kumwona Tena hadi juz juz alipokuwa anaghani quraan tukufu. Umeondoka mapema Sana broo nakumbuka enzi hizo ulikuwa na demu mkali Sana anaitwa Abia mzuri haswa mrefu na figa Kama mnyarwanda.
Sheikh mademu tena? Mbona unataka kuharibu sasa
 
Hivi na wale waliokuwa wanapiga maombi ya corona ndani ya kituo cha polisi wakiwa na sare za jeshi la polisi walikuwa sahihi kwenye miiko ya kazi yao.

Serikali haina dini ila wanaoingoza serikali wana dini.
Inaonyesha ni jinsi gani Watanzania tusivyojua sheria, hata hilo wameshindwa kuhoji ili hali miiko yake ya kazi haimruhusu kufanya hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app

sent using Simenzi mayai
 
C'est juste une expression qui n'a pas destiné à toi personnellement.
ok pas de probleme mon ami

Sent using Jamii Forums mobile app
Oh mon Dieu! [emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"رمضان كريم وصوم مقبول"
C'est mon secret et ça restera secret

"رمضان كريم وصوم مقبول"
qui est putain bb? quel est le problème?

Sent using Jamii Forums mobile app
Putain!..,
hsikndysbjwosbbsibdjsmnnsiisbsgsisbsgsisbsjskshsishshshsvhshsshvvsgsgscsvsgshshegsbehsjsbsjskskbsusbsgshnskkebsvsysusbshsjshshsjshshsksbznsn[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji10][emoji5][emoji5][emoji5][emoji7][emoji7][emoji7][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]bhhhsisheushsheishshsiwjshsysisbskzkshsusishshsgscsgsijsbbshjsjshhehsishsvegsysjjsnshsgshhshbshshshshgshhsjnsjhsnsmssns...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom